Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

WOMANOFSUBSTANC,with due respect,nimekupata loud and clear,hili swala la sampling patners before one gets hitched, haliitaji research,hii ni law of nature,in most instances there is no cutting corners,one has to be played before you see light at the end of the tunnel,to disagree on this,is like saying the sun does not rise from the east
 
WOMANOFSUBSTANC,with due respect,nimekupata loud and clear,hili swala la sampling patners before one gets hitched, haliitaji research,hii ni law of nature,in most instances there is no cutting corners,one has to be played before you see light at the end of the tunnel,to disagree on this,is like saying the sun does not rise from the east


I hear you loud and clear ila it is too generalised. Isitoshe hiyo namba nayo inatia shaka.Not all women go sampling 5-6 men...this is too much
 
womanofsubstanc,nimekubali,for the sake of tranquility,i hereby this day of the lord,take back my words.one request though,in your view kwanini nshomile anaface uphill battle anapojaribu kuwa friends na a tanzanian girl wa kabila lingine
 
womanofsubstanc,nimekubali,for the sake of tranquility,i hereby this day of the lord,take back my words.one request though,in your view kwanini nshomile anaface uphill battle anapojaribu kuwa friends na a tanzanian girl wa kabila lingine

Duuh aisee Son of Alaska wewe kweli ni mhaya haswa, yaani bado na majibu yote almost 5 threads bado hujapata jibu au hutaki kulielewa jibu?

Ama kweli Wahaya mnajisikia, hamtaki kusikia majibu kabisa....!
 
mafhidhina,hapa hakuna cha uhaya wala nini,what i wanted ni kuwa na sampling frame inayowahusisha members of both sexes ili nikiconclude hii research,margin of error iwe minimised
 
Mhn tunaanza kuongelea ukabila na kweli tunaanza kutofautiana. kabla ya hapo hakuna aliyejua Congo ni mhaya. .......

WE, mie sio Mhaya. Nikikuambia kabila langu utacheka mpaka ........ Kwani uongo kuwa hawatahiri. Hata walioko mjini mpaka wafikiri sana. Maana watachekwa wakirudi vijijini kwao.
 
Mi naona wahaya kwa sasa wamepunguza majida wamasai bwana mmmm njoo Arusha umkute mmasai aliyeenda kidato au aliyebahatika akaamata mawe (madini) utachoka!!!!
 
Mi naona wahaya kwa sasa wamepunguza majida wamasai bwana mmmm njoo Arusha umkute mmasai aliyeenda kidato au aliyebahatika akakamata mawe (madini) utachoka!!!!
 
Mimi ni mhaya fika. Ni kweli kizazi cha kuanzia baba yako kwenda juu kilikuwa na tatizo moja kubwa: Superiority Complex. Wanyankole huko Uganda bado mpaka sasa wana tatizo la kujiona wako juu ya jamii nyingine hivyo jamii nyigi haziwapendi. na sisi wahaya tuliwahi kuwa kama hawa wenzetu wa Uganda. Kumbuka hapo zamani kidogo kijana wa kihaya ilikuwa sio rahisi kuoa makabila mengine kwa kisingizio kwamba ni "wanyamahanga"! Binafsi mimi harusi yangu ilisusiwa na ndugu zangu wengi eti nimeoa Songea! Hivyo basi wasichana wa makabila mengi wanalijua hili na ndio maana wengi wao wanakuwa na mashaka kutoka na kijana wa kihaya. Hata kama wewe binafsi unampenda but she is not certain about your family and relatives and that counts alot in a relationship. I dot not regret marrying outside my tribe and my wife is one of the most respected in laws in my family. Anyway kidogo kidogo the attitude is now changing for the better. Hang in there do not despair.
....Nimewahi kusikia kuhusu hii kitu inaitwa katerero/katerelo???? kwenye mapenzi kuwa kama mwanaume wa kabila tofauti akiwa na mpenzi wa kihaya bila ku-practise katerero anaweza kumkimbia ina ukweli??? What's katerero by the way???..
 
Historia ndiyo inayo wahukumu.Hata mimi naamini sio wote wahaya au wanaume wenye tabia mbaya.Lakini wengi tabia zenu hazikubaliki.Kama wewe binafsi 'you are okay any how' wanao kuzunguuka watakuona na watakukubali.Samahani kwa kusema ukweli.
 
nyie mnawaonea wahaya,wahaya ni kama Wamarekani na ndo maana Ukienda Marekani utawakuta ni wengi sana kuliko makabila yetu.Why!kwanza ni watu walio bright au vipanga wana akili sana mimi nimesoma nao walikuwa wananipa tabu sana darasani kuanzia udogoni mpaka chuo kikuu,hivyo basi siku zote mtu anaejua sana hapendwi na watu,kingine kutokana na kujua sana vitu vingine wakijaribu kuviangalia kwa upeo mkubwa tofauti na wenzao tayari inaonekana wanaringa,I.E wa mfano muhaya anamuoa binti wa kabila letu la kisukuma ambae hajaenda shule,lazima watapishana sana kwani mwenzake akiwa anawaza ya km 10 mbele huyu yuko kwenye negative 10 km nyuma.swala la kujisifia ni la kila mtu yeyote anaepata maendeleo kwa kutumia kichwa chake ndivyo wahay awalivyo,na wamarekani pia kwani wanumiza sana vichwa kujitafutia na mwisho kufanikiwa.
kwa ufupi mimi sioni kama wana matatizo.tijiangalie sisi tunaowasema vibaya kama kweli tupo sawa.
 
VICA,katumia neno 'kuangalia vitu kwa upeo mkubwa' hii ka exaggerate or is he saying the truth,is this the missing piece in the jigsaw puzzle? VICA unamaana matatizo yetu na akina dada,ni we communicate in diffrent wavelenths,well i am gobsmacked,but i am learning.
 
MCHONGOMA,nimekupata,hata mimi naheshimu dada zetu, mama zetu nk,in black and white,an undeniable fact of life ni kwamba,a woman has to kiss many frogs before she meets the prince in shining armour,the majority kabla hawajakutana na huyu prince,will have gone through 5 or 6 relationships.na katika hizi relationship akina dada hukutana na kila type waliotahiriwa na wasio.based on this assumption ndio maana nikaweka hiyo 90%.jamani akina dada nimekosea?

SON OF ALASKA kama unaheshimu wakina dada na wewe ni mhaya basi endelea kujitahidi maana dunia ya sasa mambo yanabadlika na kama upo kwenye relationship jitahidi kucompromise na utafika mbali na partner wako.wakina dada wa siku hizi hawapendi kuwa controlled badala ya kujigamba wewe ongea naye vizuri au unaonaje?ushauri ni huo
 
nyie mnawaonea wahaya,wahaya ni kama Wamarekani na ndo maana Ukienda Marekani utawakuta ni wengi sana kuliko makabila yetu.Why!kwanza ni watu walio bright au vipanga wana akili sana mimi nimesoma nao walikuwa wananipa tabu sana darasani kuanzia udogoni mpaka chuo kikuu,hivyo basi siku zote mtu anaejua sana hapendwi na watu,kingine kutokana na kujua sana vitu vingine wakijaribu kuviangalia kwa upeo mkubwa tofauti na wenzao tayari inaonekana wanaringa,I.E wa mfano muhaya anamuoa binti wa kabila letu la kisukuma ambae hajaenda shule,lazima watapishana sana kwani mwenzake akiwa anawaza ya km 10 mbele huyu yuko kwenye negative 10 km nyuma.swala la kujisifia ni la kila mtu yeyote anaepata maendeleo kwa kutumia kichwa chake ndivyo wahay awalivyo,na wamarekani pia kwani wanumiza sana vichwa kujitafutia na mwisho kufanikiwa.
kwa ufupi mimi sioni kama wana matatizo.tijiangalie sisi tunaowasema vibaya kama kweli tupo sawa.


VICA

sasa ukisema wahaya kama wamarekani du nashindwa kukuelewa
 
Excuse me moderator,inakuwaje unaruhusu hii topic ya ukabila.kama utakumbuka jukwaa la dini lilileta mgawanyiko mkubwa kiasi cha kuifanya JF ipoteze ramani ,sasa ikiibuka ili jukwaa la UKABILA patakuwa padogo,na kila siku zitakuwa zinaibuka mada kuhusu makabila mpaka tutapoteza mwelekeo wa kupambana ili kujenga taifa. HII MADA HAIJENGI ILA INABOMOA.Ningeomba moderator ufanye utaratibu wa kutoruhusu discussion kama hizi,la sivyo itakuwa kama jukwaa la dini na migawanyiko itaanza

Mkuu! Have a sense of humour! Tunaweza kuzungumza hivi kwa sababu tunapendana. Muige waitu 100% Son of Alaska (asante Mkuu).

Tukiacha kucheka kwetu hakutakalika!
 
...kufuatia sensa ya mwaka 2002, idadi ya watu na jinsia Tanzania ilikuwa;

Tanzania
Male 16,829,861
Female 17,613,742

sasa unaposema almost 90% ya wanawake wa Tanzania, maana yake ni (almost) 16m ya wanawake wote Tanzania. Hapo Unawahukumu waliokuwemo na wasiokuwamo ndugu yangu, 90%? ni kubwa mno.

...Jinsi ninavyowaheshimu mama zangu, dada, shangazi na bibi zangu, ina maana kila mwanamke ametembea na mwanaume mmoja, hivyo (almost 90%) Wanaume wa Kitanzania 16m hawajatahiriwa???

No way bro, si kwa makabila ya kikwetu, (ashakum si matusi) ni 90% ya huko huko kwenu.


Mchongoma! heshima mbele, mkuu. Nimependa mno mchanganuo wako! Take 5 Comrade.
 
Mimi ni mhaya fika. Ni kweli kizazi cha kuanzia baba yako kwenda juu kilikuwa na tatizo moja kubwa: Superiority Complex. Wanyankole huko Uganda bado mpaka sasa wana tatizo la kujiona wako juu ya jamii nyingine hivyo jamii nyigi haziwapendi. na sisi wahaya tuliwahi kuwa kama hawa wenzetu wa Uganda. Kumbuka hapo zamani kidogo kijana wa kihaya ilikuwa sio rahisi kuoa makabila mengine kwa kisingizio kwamba ni "wanyamahanga"! Binafsi mimi harusi yangu ilisusiwa na ndugu zangu wengi eti nimeoa Songea! Hivyo basi wasichana wa makabila mengi wanalijua hili na ndio maana wengi wao wanakuwa na mashaka kutoka na kijana wa kihaya. Hata kama wewe binafsi unampenda but she is not certain about your family and relatives and that counts alot in a relationship. I dot not regret marrying outside my tribe and my wife is one of the most respected in laws in my family. Anyway kidogo kidogo the attitude is now changing for the better. Hang in there do not despair.


At least you are honest enough to admit your short-comings. I admire you for that. And it is true. There are some few very good Hayas out there.
 
naweza ku bet on my life,kwamba almost 90% ya wanawake TANZANIA,at some stage of the sexual life,have gone out with an uncurcumcised man,and loved every moment.naomba akina dada with hands on your heart mkimuogopa mungu,mdeny hii habari- in conclusion either u r curcumcised or no,does not determine how a relationship goes

sasa wewe mwenzetu inaonekana ni typical mhaya bado unajisifia msikie mwenzako byase amendika nini hapo chini
 
Back
Top Bottom