Hawa wasomi walioko TBS(Tanzania Bureau of Standards),TFDA(Tanzania Food and Drugs Administration) na Wizara ya Afya sijui vipi.Miaka nenda miaka rudi tunaona bidhaa feki ikiwa ni vyakula,madawa,nguo nk.vikifurika nchini.Madawa feki na yaliyokwisha muda yamejaa kwenye maduka.Watu wanaendelea kufa hakuna anayejali.Mungu wangu,hivi ni nani atakaye tusaidia?Hawa wasomi ambao ndio tulidhani watatusaidia ndio wamekuwa mwiba.Sasa ni wasomi mamluki na uchwara, ambao wanashirikiana na wahasimu wetu kutumaliza.Watanzania tuamke,tusipoangalia tutakwisha.