Recent content by Change_down

  1. Change_down

    Windows 10 overtakes XP and 8.1, still lags behind 7

    Win7 ultimate bado ipo vzr sana
  2. Change_down

    Majangili yaitungua helikopta na kumuua rubani huko Maswa

    ajali kubwa sana hii! rip rubani
  3. Change_down

    Gari za kampuni ya Honda kwa matumizi ya barabara za Bongo.

    japo sizifahamu ila HondaCRV mpya imetulia ila kuna zile HRV100 zinaonekana kudumu zaidi
  4. Change_down

    Best PC games

    NFSMW
  5. Change_down

    Msaada Computer Screen Mbovu

    kuna toshiba l500 t12 screen imeleta doa jeusi
  6. Change_down

    Mlioijaribu Bia ya Arusha almaarufu "Banana", hebu tupeni feedback

    nilikua atown once nikaijaribu na ugoro ile nimefika ya nne namalizia fundo la mwisho lika pitiliza na ugoro vikaingia vyote tumboni nika jitusu kuwasha sport nika piga pafu la kwanza na la pili kilichotokea hata kusimulia ni mtihani mpaka leo sinywi wala kuvuta , ila ipo kama wine ilio chacha...
  7. Change_down

    Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    gari zote zina tengenezeka ila huwa tunaingia kwa mafundi sio, pia hizi GDI wengi wana toaga engine za mitsubishi na kuweka toyota
  8. Change_down

    Bado huamini katika uchawi na ushirikina? Waulize madereva

    kwa experience ndogo niliyo nayo kuhusu madereva na mazingaombwe ya barabarani 1. huwa wana sinzia akishtuka anakuta chombo kimevuka chalk ya kati na kuanza kuingia site ya mwenzie hapo ata chorachoara mpaka apindue gari ukija kumuuliza nini kilitokea utasikia akikuambia, ALITOKEA BIBI AKE...
  9. Change_down

    Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

    Angetokea mtu na full details ingekuwa nafuu haya mliyo changia yana saidia japo si kwa kiwango kikubwa haswa ukizingatia ki'digital kwa swali dogo kama hlo majibu yanatakiwa kuwa up to detail level
  10. Change_down

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    ARUDISHE COCO BEACH KWANZA ndio mengine yaendelee
  11. Change_down

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Kuhusu Riz ONE sina tatizo nae na hata akipata nafasi ya kupiga yy apige tu maana yupo tofauti na mafisadi wengine wanao ficha pesa uswis na nchi zngne yeye huwa anazirudisha na watu wana pata ajira haswa madereva wamemfaidi na bado wana muhitaji
  12. Change_down

    Wachagga leo watakufa

    Nsire 'ang' ng'umbe
  13. Change_down

    Exim bank kuweni serious na wateja

    hahahaha kiwanda cha pipi
  14. Change_down

    Exim bank kuweni serious na wateja

    kumbe exim ni bank! ok
  15. Change_down

    Muuaji wa afisa wa TANAPA Arusha akamatwa

    Hilo ni DRAFT huyo jamaa ni kete ya sadaka ambayo haina faida, kajitaja vipi kirahisi hivyo, wajanja wamegundua kuwa huyo mtuhumiwa ni mbuzi wa sadaka
Back
Top Bottom