Change_down
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 276
- 54
ARUDISHE COCO BEACH KWANZA ndio mengine yaendelee
Wangelipaje wakati serikali waliiendesha wao remotely?! Huyu ndiye alituma masanduku ya noti dodoma kuhonga wajumbe wa ccm ili fisadi lao lipitishwe na chama kugombea urais, ulisikia mwisho wa ile kesi?! Fikiria nchi ingekuwa na hali gani kama fisadi lao lingeshinda.
Kweli nchi yake india haimthamini aende pakistan kama vipi.
Hakukuwa na Rasilimali watu by that time ndio Maana huyo Waziri akateuliwa (Kama kweli)
Umeshawahi kwenda JWTZ,POLISI ama MAGEREZA ukakuta Mhindi ?
Jitafakari,kuna Idara za Serikali shurti uwe Mzawa Halisi (Black) ndio utie Maguu
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Hakukuwa na Rasilimali watu by that time ndio Maana huyo Waziri akateuliwa (Kama kweli)
Umeshawahi kwenda JWTZ,POLISI ama MAGEREZA ukakuta Mhindi ?
Jitafakari,kuna Idara za Serikali shurti uwe Mzawa Halisi (Black) ndio utie Maguu
Bramo,
Hoja yako ni dhaifu sana.Wakti Nyerere anaanza kuiongoza TZ tayari kulikuwa na Raslimali watu ya kutosha tena wengi wao wakiwa wamesomea nchi za ng'ambo.Issue hapa ilikuwa ni umahiri wa mtu bila kuangalia rangi yake.
Mimi nilipitia JKT tulicheza kwata na Wahindi waliokuwa wamemaliza A level na baadaye walijiunga na vyuo Vikuu wakasomea taaluma mbalimbali kama Uhandisi,Udaktari,Uchumi n.k.
Mpaka sasa kuna zaidi ya wahindi 10 ninaowajua wanafanya kazi za Udaktari na Uhandisi katika Hospitali na Taasisi mbalimbali hapa Tanzania na wengine walikwenda nje ya nchi kutafuta maslahi mazuri.
Swala la kuingia JWTZ,POLISI au MAGEREZA ni swala ambalo liko hata kwa Watz wenyewe.Hizo kazi wengi hawazipendi maana hazina heshima na mara nyingi wanaenda watu ambao HAWAKUFAULU VIZURI!Huu ni ukweli Mchungu.
Allen KilewellaElli ndiyo Tanzania ni nchi yake kwani ana uraia wa nchi nyingine? Kuna tatizo la watu kuwaza kwamba wahindi siyo watanzania. Ni bahati mbaya sana!!
Mkuu
Nadhan wewe utakuwa Mhindi, sio bure
Nchi yake ipi? Tanzania? Ngoja nikae kimya
Muhindi akimbagua mtanzania hapo hakuna ubaguzi... Ila sisi tukiwabagua wao hapo ndipo ubaguzi unaonekana... Idiotic minds on you....
Historically wahindi wametubagua tangu na tangu kasome history ya nchi hii... Jeuri hii wanataka kuiendeleza wakati tupo huru...
Nenda kafanye kazi ofisi za wahind ndo utajua hawa wadudu ni watanzania au lah.... Acha kutetea pumba
Bramo,
Hoja yako ni dhaifu sana.Wakti Nyerere anaanza kuiongoza TZ tayari kulikuwa na Raslimali watu ya kutosha tena wengi wao wakiwa wamesomea nchi za ng'ambo.Issue hapa ilikuwa ni umahiri wa mtu bila kuangalia rangi yake.
Mimi nimewahi kusoma na Wahindi na nilipitia JKT na tulicheza kwata na Wahindi waliokuwa wamemaliza A level na baadaye walijiunga na vyuo Vikuu wakasomea taaluma mbalimbali kama Uhandisi,Udaktari,Uchumi n.k. Wahindi huwa ni wazuri sana kwa namby(Maths),Fizikia,Kemia na Bailojia!
Mpaka sasa kuna zaidi ya wahindi 10 ninaowajua wanafanya kazi za Udaktari na Uhandisi katika Hospitali na Taasisi mbalimbali hapa Tanzania na wengine walikwenda nje ya nchi kutafuta maslahi mazuri.
Swala la kuingia JWTZ,POLISI au MAGEREZA ni swala ambalo liko hata kwa Watz wenyewe.Hizo kazi wengi hawazipendi maana hazina heshima na mara nyingi wanaenda watu ambao HAWAKUFAULU VIZURI!Huu ni ukweli Mchungu.
Hivi unaongea nini wewe
Umenielewa lakini ?
Mimi nilikuwa namjibu Lofa Mmoja anayemtetea Mhindi Manji kwa hali na Mali,ndio nikamwambia lazima na yeye atakuwa Mhindi.
Huelewi nini hapa ?
Au na wewe Mhindi ?
Yaani ungejua ninavyowachukia wahindi,Leo ningepewa Mamlaka ningewafukuzilia Mbali wote kabisa
Kuhusu JWTZ,POLISI na MAGEREZA Mkuu hoja yako ni Dhaifu sana.
Simple,Hawa qualify kwenda huko.
Huko kuna Ma Dr,Engineers na Taaluma anuai ila hakuna wahindi
Baba wa Taifa Mal.JK Nyerere(RIP)wakti wa uhai wake aliwahi kusema ukianza dhambi ya Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu huwezi kuacha.Mwl.akasistiza kama mkiifanya dhambi hiyo itawatafuna na akasistiza kwamba na IWATAFUNE!
Nyerere hakuwa mpuuzi kama Mitanzania mingine na hasa viongozi wa sasa wa CCM!Hivi kwanini Nyerere alimteua Waziri wa FEDHA WA KWANZA MHINDI Ndugu AMIL JAMAL?????Je,Nyerere hakujua ubaya wa Wahindi???Tell me you poor Tanzanians!