Best PC games

Best PC games

sipenda call of duty sababu mtu haonekan nikiwa nacheza napenda mtu mzima aonekane kama max payne, red etc

gta v sijawai kuionana hata kucheza

far cry3 is the best

torent kuna kila gemu unalojua
Nikichezaga full character naona kama nacheza game za kitoto sana way back Playstation 1...Nikicheza za nusu(Hand+Gun) Alfu ukiwa na screen kubwa au projector+Dr Dre or any super Headphone duh!! najiona mimi ndio niko vitani..Call Of Duty MW3 nilimaliza mission nikarudi nikarudia tena mpaka sasa na mwaka wa 4 nacheza kwenye PS3..COD MW3 iko kwenye list ya my best games ever played..
 
Nikichezaga full character naona kama nacheza game za kitoto sana way back Playstation 1...Nikicheza za nusu(Hand+Gun) Alfu ukiwa na screen kubwa au projector+Dr Dre or any super Headphone duh!! najiona mimi ndio niko vitani..Call Of Duty MW3 nilimaliza mission nikarudi nikarudia tena mpaka sasa na mwaka wa 4 nacheza kwenye PS3..COD MW3 iko kwenye list ya my best games ever played..
Ahahahahahahahahahaha Mkuu, Captain Price hajambo? Yuri je? Vipi akina Makarov!?
Naipenda sana ile Mission ya kumlinda President, helkopta ya kuokoa inapokuja tuu, mara makarov huyoooo!!!!
Kiukweli Call of Duty 3 ni tamu saba aiseee!!! Napenda hata siraha zake na mazingira ni ya kisasa zaidi ndo maana ikaitwa modern warfare.
Bila kusahau the end of the game Captain Price anapomuua adui kisha anadondoka mpaka chini harafu anajisogeza pembeni kisha anawasha sigara, hatari sana hawa watu Mkuu!!
Ila Mkuu kuna hii Call of Duty 2 Black Ops, unaionaje?
 
Ahahahahahahahahahaha Mkuu, Captain Price hajambo? Yuri je? Vipi akina Makarov!?
Naipenda sana ile Mission ya kumlinda President, helkopta ya kuokoa inapokuja tuu, mara makarov huyoooo!!!!
Kiukweli Call of Duty 3 ni tamu saba aiseee!!! Napenda hata siraha zake na mazingira ni ya kisasa zaidi ndo maana ikaitwa modern warfare.
Bila kusahau the end of the game Captain Price anapomuua adui kisha anadondoka mpaka chini harafu anajisogeza pembeni kisha anawasha sigara, hatari sana hawa watu Mkuu!!
Ila Mkuu kuna hii Call of Duty 2 Black Ops, unaionaje?
Hili game Call of Duty 2 Black Ops kwa kweli sijalicheza mkuu vp ni kali kama COD MW3
 
Hili game Call of Duty 2 Black Ops kwa kweli sijalicheza mkuu vp ni kali kama COD MW3
Kwa jinsi inavyoonekana ni kwamba Call of Duty 2 Black Ops huiwezi fananisha na COD 3, Hii Black Ops 2 ni balaa. Achana na akina Yuri na Captain Price au Soap. Huku kuna miamba miwili, ninaposema miamba ni miamba kweli kwenye mapambano.
Kuna :-
1. Frank Woods
2 Alex Mason

Hatari sana hao watu hapo Juu!
 
Kwa jinsi inavyoonekana ni kwamba Call of Duty 2 Black Ops huiwezi fananisha na COD 3, Hii Black Ops 2 ni balaa. Achana na akina Yuri na Captain Price au Soap. Huku kuna miamba miwili, ninaposema miamba ni miamba kweli kwenye mapambano.
Kuna :-
1. Frank Woods
2 Alex Mason

Hatari sana hao watu hapo Juu!
Ngoja nikadownload chap...
 
japo ni ya kitambo kidogo bado naamini ni
among the best mission game DESERT STORM
 
Fifa14 na nizile code ambazo unaziandika kwenye origin mkuu
Kwa sasa FIFA 14 nipo nayo mbali ila hiyo Game mbona Crack zake zipo nyingi tu Mkuu!?
Kipindi cha nyuma nilishawahi kuandika Thread kwamba naitoa bure hiyo Game na nikaitoa sana tuu.
 
Kwa sasa FIFA 14 nipo nayo mbali ila hiyo Game mbona Crack zake zipo nyingi tu Mkuu!?
Kipindi cha nyuma nilishawahi kuandika Thread kwamba naitoa bure hiyo Game na nikaitoa sana tuu.
Mkuu nimezitafuta sana lakini nimeshindwa kuzipata
 
Msaada serial keys ya Uero Track nying ninazopata zimegoma
 
Du sijui nianzie wapi maana game nilizocheza ni zaidi ya 100
Call of duty series yote iko poa kuanzia call of duty 4 hadi black ops 3
Crysis 2 na 3
Farcry 2 hadi 4
Singularity
Duu nilitaka kusahau battlefield kuamzia bad company hadi 4
The vanishing of Ethan Carter
Metro 2033 na last light
Siwezi maliza kutaja
 
msaada nataka nidownload pes 2012 lakini kwa android phone naombe link ama maelezo jinsi ya kuipata nalipenda sana hili game
 
mimi games zangu ni za strategy tu napenda sana turn based games, nacheza age of heroes online (aoho), ancient empire, fire emblem, final fantasy, xcom enemy unknown, etc pia nacheza kidogo mpira tena PES tu, Fifa silipendi halina super Heroes
mkuu naomba link ya pes 2012 android
 
Back
Top Bottom