Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mlango mmoja unafaa kwa ofisi,cafe au duka; ukubwa wake ni futi 18 x 12,ipo karibu na barabara ya dunga (njia ya kwenda kinondoni biafra) tuwasiliane 022 2760425 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na mnada pale UNICEF vitu mbalimbali kama magari,vifaa vya computers na vya maofisini. List of vitu imeambatanishwa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
If you wish to sale or rent Townhouses, apartments,commercial plots, showrooms, offices, farms, bungalows, beach plots, warehouses, in Dar es Salaam, Please contact this no. 0717114409.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipo Kitunda. Ni self contained ya vyumba vitatu kimoja wapo kikiwa masta. In sebure kubwa, dinning kubwa, jiko. Ni nyumba mpya. Inauzwa sh 50mil. Mazungumzo yapo, na pesa ruksa kulipa kwa awamu...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
CHANGE OF PRICE! habari za mchana huu wana JF, natafuta wateja wa laptops, ninazo laptops 3 mpya kabisa, 2 ni compaq na moja ni LENOVO. zifuatazo ni specification zake, 1.compaq presario cq60...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Natafuta mtaalamu wa ku-design na kutengeneza garden za nyumba. Kama una utaalamu huo nirushie contacts zako kwa PM. Pia unaweza kupost hapa kwa manufaa ya wanaJF wengine wenye kuhitaji huduma...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nilimtumia jamaa'ngu laptop kwa njia ya express lakini haikufika bongo kwa wakati unaotakiwa na nikatuma nyingine. Kwa bahati zote zimefika na jamaa ana laptop mbili. Mimi sio mfanya biashara na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kartika Sari Dewi Shukarno Monday, August 24, 2009 5:29 PM Adhabu ya kuchapwa bakora sita iliyokuwa ikimkabili mrembo wa vivazi wa Malaysia ambaye alikamatwa akinywa pombe hadharani imeahirishwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mshikaji anauza mac ibook g3 used.kwa yeyote anayehitaji please call 0754549631
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nimeamia singapore ntakuwepo hapa kwa muda, nlitaka kujua kama kuna wanajf wowote maeneo haya, thanks
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nanunua used computers za specifications zote, except p2 na bellow oc! nipe aina ulizonazo, kisha shindana bei na wauzaji wengine..nikiridhika na bei zako tunafanya biashara. tamilaggk@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wale wanaohitaji viwanja, kuna kiwanja/shamba la ukubwa wa hekari tatu kasoro linauzwa. Eneo hilo liko Kifuru (ukivuka segerea) ni eneo zuri kwa ajili ya shamba au makazi maana mji unapanuka...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Toyota raum 2000 model- white colour automatic, 1490cc 84,000km only options 1. Radio n tape 2. Air condition 3. Power windows 4. Power steering 5. Abs 6. Very clean inside ameingia leo kutoka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MITSUBISHI CANTER LONG year - 2000 engine capacity - 4210CC capacity - 2 ton odo - 109,000km options 1. radio n tape 2. air condition 3 power steering 4. long chasis bei = 16,000,000/=...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello Wakuu!! I hope mnaendelea vzr. Naomba anayejua ABA numbe ya CRDB K'nyama Branch anisaidie hapa, nina shida nayo Thanks
0 Reactions
0 Replies
1K Views
IMESHAUZWA!!!! toyota raum 2000yr model automatic, 1490CC, 84,000km only power steering, power window, radio and tape,nk imeingia kutoka japan wiki hii. ishalipiwa ushuru na kodi zote bei ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The fifth International African Diaspora Heritage Trail conference will take place in Tanzania from October 25 - 30,2009, with venues in both Arusha, the safari capital on the mainland and on the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Located at the city centre here in Dar es Salaam, is suitable for offices, cafeteria, and any other business. Anyone interesting awasiliane nami direct kwa email: edmeenda@yahoo.com. Dalali hatakiwi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Kiwanja kinauzwa. Kipo Jangwani Beach (ndani ya Mbezi Beach). Kwa anayetaka kukiona, awasiliane nami directly, ama kwa simu ama kwa email. Simu: +255-786-019019 au +255-715-019119...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF wenzangu heshima kwenu, Kutokana na tatizo nililo nalo kwa sasa nalazimika kutangaza kuuza plot yangu iliyoko Kibaha kwa Mathiasi yenye eneo la takribani ekari moja iliyopandwa miti ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom