Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

napenda kuwaomba wale wote waliopita Same high school ze desert tuwasiliane wote my idea is to plan for mkutano mkubwa kwa wote waliopita hapo. no west or east home is the best +255 787...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta ratiba ya vipindi ya TBC1. Ratiba ya wiki mzima, kutoka saa 12 asubuhi mpaka saa 6 usiku. Kwa anayejua hiyo ratiba, tafadhali naomba msaada. Natanguliza Shukrani~
0 Reactions
4 Replies
17K Views
  • Closed
We've been together since 16th January 2007, it's a year now. You're one of the JF's Premium Members (supporters) and we do appreciate your presence on these forums. And on this 20th Jan, it's...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kuna tangazo pale chuoni kwamba wanafunzi wa UDSM watapangiwa upya accomodation zao. Mengi zaidi yako hapa: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM NOTICE TO ALL STUDENTS Following the decision to require...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
tafadhali kama kuna mtu anayeweza kunisaidia kupata min Div deck .ni duka gani ambalo ninaweza kupata Min Div Deck kwa hapa dar es salaam
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Marehemu Mohamed Abddul Shakur a.k.a Captain PAMA Watanzania Italy wanasikitika kutangaza kifo cha Ndugu MOHAMED ABDUL SHAKUR (PAMA) kilichotokea 5th Jan asubuhi katika hospitali ya SAN GIOVANNI...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nimefurahi kuona jinsi Marketers wa Zantel anavyojitahidi kutangaza huduma yao ya internet. Binafsi namshauri aweke tanzazo lake na hapa JF. Watu hawajagundua, kwa mwezi JF inatembelewa na zaidi...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
  • Closed
Wanabodi, ninamtafuta Nd. Ngwabi Ngawagilala mara ya mwisho kuonana nae alikuwa ni mkurugenzi wa SHIHATA katika miaka ya mwishoni ya 80. Mwenye kujua naweza kumpata wapi na yupo wapi kwa sasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari nilizopokea karibuni ni kuwa mtangazaji wa zaidi ya miaka 40 na BBC aliyestaafu miaka michache iliyopita na ambaye ni mzaliwa wa hapa kwetu Zanzibar amefariki dunia akiwa usingizini...
0 Reactions
31 Replies
14K Views
kwa wanajamiiforums wote, Ninahitaji clips chache za taarifa ya habari inayosomwa kwa kiswahili yaani kutoka katika televisheni za Tanzania. Iwe ya kipindi chochote cha nyuma au hata za hivi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni mara nyingi huwa tunajisahau na kudhani kuwa vita ya kumkomboa mwafrika ilipiganwa (?) na mtu mweusi peke yake. Tunawasahau wakina Ruth First, Joe Slovo, Athol Fugard, Nadine Gordimer na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya wakuu wote, Ninaomba kama kuna mtu anaishi, fanya kazi au biashara nchini malaysia ani PM tafadhali sana. Natarajia kusikia kutoka kwenu. Asante.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikiwa kama mwana-member, ninapenda kuwatakia wote mafanikio mema katika mwaka huu unaoanza, mwaka 2009. Ninaamini mwaka unaoisha una mafanikio na hasara pia, all in all "May The Year 2009 Bring...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello Bi Mkubwa, Your Birthday makes this day all more special and beautiful. Wishing you another year of good health, happiness and prosperity. HAPPY BIRTHDAY Bi Mkubwa!!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
SALAAM ZA MWAKA MPYA Uongozi na wafanyakazi wa MwanaHALISI, hata ndani ya kifungo cha siku 90 cha gazeti hili, tunayo furaha kukutakia heri katika sherehe za msimu huu zinazoambatana na kuaga...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
  • Closed
Nilishazowea ile skin ya Krismas, and now I think I am missing it.!!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Kama kuna mtu mwenye mawasiliano na wanausalama wa Tanzania wowote aliye Malaysia naomba Contacts zake au unaweza kuwasiliana kwa +255716 494151 Msaada wa haraka sana unahitakija Ahsante
0 Reactions
20 Replies
4K Views
  • Closed
Mbunge wa zamani wa CCM jimbo la Mbozi Mashariki Edson Halinga(68) amefariki dunia usiku wa kuamkia jumanne. Marehemu aliyekuwa akiishi mtaa wa Vilolo mjini Viwawa Mbozi alifariki dunia kutokana...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1.Nasreem(Miss TZ 2008) 2.Richa(Miss 2007) Ninahitaji contacts zao,ni muhimu kwa mustakhabali wetu(Watanzania).
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom