Wana JF na Wazalendo;
Karibuni Tujumuike Pamoja:
Kwa niaba ya TPN napenda kuwakaribisha wote katika Hafla ya Kujumuika Pamoja itakayofanyika siku ya Jumamosi Tarehe 28 Februari 2009...
Dear Members!!!
Mwanachama mwenzetu wa JF, anaefahamika kwa jina la Stone Town amefanyiwa upasuaji mdogo ktk paja ili kuondoa uvimbe uliokuwa namsumbua.
Mwenyezimungu amuwezeshe apone kwa...
Watanzania wote wanakaribishwa kuchangia habari za mahali wanapoishi au wanapotoka katika wikipedia ya Kiswahili. Ijulikane ya kwamba wikipedia ni mradi mkubwa wa elimu unaojengwa na wachangiaji...
Heshima Mbele,
Kam,a Mtakumbuka kipindi Flani Mkulu FMES(wazee wasauti za umeme) alieleza khali ya mgonjwa pendo magaruda.Kwa taarifa ambzo nimezipata toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa familia...
Wadau habari za hasubuhi,
Natafuta laptop used kuanzia pentium 4, Kama kuna mtu umesikia anauza au duka ambalo unafahamu wanaoziuza kwa bei nafuu nihabarishe kwa 0713943995 maana ningependa...
Ni uzembe au Ajari!? Akanyagwa na Catapilla akiwa kazini.
M/Mungu amuweke mahala pepa marehemu...!
Kama una roho nyepesi na huwezi kuangalia picha za kutisha tafadhari usiangalie. Ni...
Baada ya walimu: Mapolisi nao wala bakora
Posted Mon, February,16 2009
Source Alasiri
Leo ikiwa ni siku ya nne tangu Rais Jakaya Kikwete amfute kazi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Kanali...
Wadau ninatafuta link niweze download hii movie ya akina Dev Patel (slumdog millionaire na hii ya Kate Winslet (The Reader). Zimekuwa nominated mara nyingi kwenye British Academy Film (BAFTA...
Natauta nakala ya kitabu WIMBO WA LAWINO (nakala ya kiswahili).
Mwandishi ni OKOT P' BITEK.
Naomba yeyeyote atakayeweza kunijulisha namana nitakavyo pata nakala hiyo.
Kuna mdau amenitumia picha za mauwaji, haijulikani yametokea wapi but some where in Tz. Ni picha za kutisha (horror) kwa wale wenye nyoyo nyepesi.
Nimesita kuzituma humu kwa kuchelea lawama...
nauza laptop used 6 aina ya compaq evo n800c zina hali nzuri tu,
nauza sh 450,000
specification zake ni
pentium 4
windows xp pro
speed 1.60ghz
ram 256mb
kwa mawasiliano...
Waungwana,
Nachukua nafasi hii kuwataarifu msiba mkubwa uliomfika mwenzetu, Woman of substance, wa kufiwa na Baba yake mpendwa. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na...
Wakuu wa JF,
Nasikitika kutangaza kifo cha Mama Fatuma Ndolanga aliyekua mkewe former chairman wa FAT, Al-haj Muhidin Ndolanga, kilichotokea hospitali India.Marehemu alikua anapata matibabu ya...
Kijana wa Kitanzania aliyefahamika kwa jina la Ali Ibraham, alimechomwa kisu na kupoteza maisha tarehe 27th December 2008
Marehemu anayekadiriwa kuwa na kati ya miaka 17 na 25 amekumbwa na...
heshima wakuu..
namtafuta terence mwakaliku,mara ya mwisho kuonana ni 5 years ago
tafadhali mwenye contacts zake anisaidie tafadhali.
shukrani in advance.
Kwenu Tanzania daima:
Ni siku ya sita sasa kila nikifungua mtandao wa Tanzania Daima (Tanzania Daima - Sauti ya Watu) naona una virusi.
Nimejaribu kompyuta tatu tofauti naona tatizo ni hilohilo...
Wana JF,
Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.