Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana JF na Wazalendo; Karibuni Tujumuike Pamoja: Kwa niaba ya TPN napenda kuwakaribisha wote katika Hafla ya Kujumuika Pamoja itakayofanyika siku ya Jumamosi Tarehe 28 Februari 2009...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Dear Members!!! Mwanachama mwenzetu wa JF, anaefahamika kwa jina la Stone Town amefanyiwa upasuaji mdogo ktk paja ili kuondoa uvimbe uliokuwa namsumbua. Mwenyezimungu amuwezeshe apone kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Watanzania wote wanakaribishwa kuchangia habari za mahali wanapoishi au wanapotoka katika wikipedia ya Kiswahili. Ijulikane ya kwamba wikipedia ni mradi mkubwa wa elimu unaojengwa na wachangiaji...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Closed
Heshima Mbele, Kam,a Mtakumbuka kipindi Flani Mkulu FMES(wazee wasauti za umeme) alieleza khali ya mgonjwa pendo magaruda.Kwa taarifa ambzo nimezipata toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa familia...
0 Reactions
46 Replies
12K Views
Wadau habari za hasubuhi, Natafuta laptop used kuanzia pentium 4, Kama kuna mtu umesikia anauza au duka ambalo unafahamu wanaoziuza kwa bei nafuu nihabarishe kwa 0713943995 maana ningependa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni uzembe au Ajari!? Akanyagwa na Catapilla akiwa kazini. M/Mungu amuweke mahala pepa marehemu...! Kama una roho nyepesi na huwezi kuangalia picha za kutisha tafadhari usiangalie. Ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Baada ya walimu: Mapolisi nao wala bakora Posted Mon, February,16 2009 Source Alasiri Leo ikiwa ni siku ya nne tangu Rais Jakaya Kikwete amfute kazi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Kanali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau ninatafuta link niweze download hii movie ya akina Dev Patel (slumdog millionaire na hii ya Kate Winslet (The Reader). Zimekuwa nominated mara nyingi kwenye British Academy Film (BAFTA...
0 Reactions
22 Replies
49K Views
Natauta nakala ya kitabu WIMBO WA LAWINO (nakala ya kiswahili). Mwandishi ni OKOT P' BITEK. Naomba yeyeyote atakayeweza kunijulisha namana nitakavyo pata nakala hiyo.
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Ulazima wa Elimu ya Maingiliano (sex) Na Uhusiano (Relationship) Kwa Watoto Mashuleni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa ninatafuta sehemu wanayochora na kufuta tattoo vizuri hapa Dar Anayepafahamu naomba anielekeze.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna mdau amenitumia picha za mauwaji, haijulikani yametokea wapi but some where in Tz. Ni picha za kutisha (horror) kwa wale wenye nyoyo nyepesi. Nimesita kuzituma humu kwa kuchelea lawama...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
nauza laptop used 6 aina ya compaq evo n800c zina hali nzuri tu, nauza sh 450,000 specification zake ni pentium 4 windows xp pro speed 1.60ghz ram 256mb kwa mawasiliano...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana, Nachukua nafasi hii kuwataarifu msiba mkubwa uliomfika mwenzetu, Woman of substance, wa kufiwa na Baba yake mpendwa. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na...
0 Reactions
80 Replies
11K Views
Wakuu wa JF, Nasikitika kutangaza kifo cha Mama Fatuma Ndolanga aliyekua mkewe former chairman wa FAT, Al-haj Muhidin Ndolanga, kilichotokea hospitali India.Marehemu alikua anapata matibabu ya...
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Kijana wa Kitanzania aliyefahamika kwa jina la Ali Ibraham, alimechomwa kisu na kupoteza maisha tarehe 27th December 2008 Marehemu anayekadiriwa kuwa na kati ya miaka 17 na 25 amekumbwa na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
heshima wakuu.. namtafuta terence mwakaliku,mara ya mwisho kuonana ni 5 years ago tafadhali mwenye contacts zake anisaidie tafadhali. shukrani in advance.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwenu Tanzania daima: Ni siku ya sita sasa kila nikifungua mtandao wa Tanzania Daima (Tanzania Daima - Sauti ya Watu) naona una virusi. Nimejaribu kompyuta tatu tofauti naona tatizo ni hilohilo...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wana JF, Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ingawa linatengenezwa kwa siri lakini kwa hali lilipofikia si siri tena.
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Back
Top Bottom