Hello wana JF!
Nina nyumba ya kupangisha yenye description zifuatazo:
> Nyumba ya kisasa kabisa ya ghorofa moja
> Ina vyumba 3 vya kulala juu, na kimoja chini (vyumba vyote vina choo na bafu)...
Viwanja viwili vinauzwa. Vipo Buyuni.
kila kimoja kina ukubwa wa sqm 780.
Bei ya kila kimoja ni sh 5mil.
Vyote vina hati miliki.
Kwa mawasiliano. 0171 114409
2005 model 61541km the vehicle was bought about
Few years ago from DT Dobies as brand new. Since it was bought it as been services
By the same sale D.T. Dobies. Manual Transmission.
Price 23mil
salaam wakuu, nimeshushiwa mzigo mwingine tena wa radio za gari zinatoka ujerumani, ni mpya(siyo used), zinapiga Audio CD,CD-RW,MP3,USB,SD/MMC, 4 x 100 Watt Max. bei imepungua kidogo, 250,000...
Habari zenu wana JF,
Mimi ni mmoja wa wanzilishi wa mtandao wa MZALENDO.NET, nitatoa takwimu za mtandao au project hiyo hapa tokea tufungue mtandao huo.
Takwimu za maendeleo project...
Wakuu wote JF, saalam za heri:
- za sikukuu ya Thanksgiving ambayo inafanyika kesho hasa huko USA, lakini wale wengi wetu tuliowahi kuishi huko na wengine wote tuungane kusherehekea siku hii...
Assalamu alaykum
Nakutakieni Eid Mubarak wana ukumbi wote, Allah akupeni kheri pamoja na aaili zenu, na akutilieni barka na furaha katika majumba yenu...
Vile vile Namuomba Allah Ajaalie ukumbi...
Yawezekana wewe ni mmoja wa waathirika wa ugonjwa wa ukimwi yawezekana una ndugu anaeumwa ugonjwa huu,...wapo wanaoamini mungu awezi kushindwa wapo wasioamini ama kwa uwoga ama imani haba....leo...
Hivi wakuu machine za kuoshea magari zipo za specs zipi na zipi, na zinapatikana wapi na makadirio ya bei zake ni zipi? taa imewaka kichwani, kuna kichaa wangu mmoja alikimbia shule, sasa ameamua...
Jamani kama kuna mtu mwenye address ya mtu ambaye aliwai kuwa nurse na ame retire .Namhitaji ili aweze kumtunza mwanangu mwenye kuhitaji msaada wa Psychiatric management.Sio lazima awe ni nurse wa...
Kivuko.com inapenda kuwatakia watanzania wote sikuukuu njema ya Eid.
pamoja na salam hizo tunaambatanisha kuponi kwa wale wote watakaotumia mtandao wa kivuko.com kufanya manunuzi yao katika...
Wana jamii natafuta hostel ampapo mtu anaweza kukaa kwa muda wa wiki mbili hivi akijitayarisha kwa mitihani. Iwe Meneo ya karibu na mjini kama Sinza, Mwenge, Kinondoni, Mjini kati, Ubungo n.k...
6 weeks old pet dog puppies for sale (small breed). parents are very well behaved and good for the family and kids. price - TShs 400,000. See attachment for pictures and contact details
Msichana wa kazi anatafutwa kwa kazi za ndani kijijini kwa mkataba wa miezi Mitatu kwanza kuanzia Dec 15 akifanya vizuri mkataba unaweza kuongezwa.
SIFA
Umri - wowote
Msafi
Elimu angalau Form IV...
Hi JF Members.
Am selling the below Raum at 7,500,000. But Negotiable.
Picha hazijatoka vizuri coz nilitumia simu.
Ni ya mwaka 2000
cc 1490
OD 67,000
nimeanza kuitumia last week
runs great
very...
Salaamz wana JF. Natafuta professional cleaners wa ndani ya gari. Namaanisha kusafisha floor, roof, viti, board ya ndani kwa ujumla, dash board NA MFUMO MZIMA WA HEWA YA AIR CONDITIONER. Note...
Kwa yeyote anaye hitaji digital camera: sony,fujitsu,canon,Ricoh etc (zote zinanzia 12 megapixel) Range ya bei Tsh 280,000 to 340,000
2. Digital Camcoders; Range Tsh 600,000 to 1,400,000
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.