Wana JF nasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu, mwanaharakati wa utunzaji misitu Ndg. Corodius Thomas Sawe kilichotokea usiku wa kuamkia jana pale Morogoro.
Kwa wasiomfahamu alikuwa ni Afisa...
Kwa mwenye ufahamu wa bei na ubora wa vifuatavyo,atoe maoni yake
1.Tiles
Naomba bei za good Quality tiles.porcelain,ceramic all good.nahitaji za sakafuni,bafuni na jikoni.
2.Gypsum for ceiling...
Nimetafuta kariakoo kote tyre za gari aina ya suzuki R wagon sikupata,size yake ni 165/55R14, nimepata ambazo kubwa zinagusa body, kuna jamaa wameniambia nikanyanyue bodi ya gari ili niweke hizo...
German Shepherds
wana jamii nimeona tangazo la mbwa nikakumbuka kuwa nilikuwa natafuta Mbwa kwa mda mrefu sana kwa ajili ya ulinzi wa nyumba wakati nipo kazini BILA MAFANIKIO.
NAPENDELEA ZAIDI...
KATIKA hali isiyo ya kawaida mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhani Kalinywa (35-40) mkazi wa Mlandizi amefariki dunia wakati akichimba kaburi la rafiki yake aliyetambulika kwa jina moja la...
Saalaam Sana,
Napangisha NYUMBA vy Vyumba vitatu iko UNUNIO BEACH . Kodi ni Shs 520,000 kwa Mwezi ,Maelewanbo yapo. Nyumba ina Vyumba Vinne,Sebule na Dining ,Jiko ,Korridor na Vyoo Vitatu...
Honda CRV- RD1, Color: Metallic Silver, Registered and used in Tanzania
Options: Power steering, Power windows, Power mirrors, Auto-Air conditioning, Stereo CD/MD, Central locking / Keyless, Roof...
wakuu nauza simu hiyo kama nilivyoandika,simu ni mpya imetumika mwezi mmoja tu europe specification napicha hapo chini ni pm ukiihitaji nikushushie
This unlocked cell phone is compatible...
gari aina ya toyota surf 1kz lina hali nzuri linauzwa.kama kuna mtu anahitaji aseme na apendekeze bei.(ieleweke engine yake sio zile za mchemsho).linatembea na lipo fit angle zote.linauzwa si kwa...
Hey Guys!!
Lots have been said about Disadvantages of Pajero Mitsubish GDI. anyone wishing to sale that kind of a car at 6.5m pm me straight away! Deadline is 21st Dec 2009.
Tcheers guys!! Enjoy...
salam wadau,
natafuta motokaa kwa ajili ya matumizi ya kawaida,kwa bajeti yangu ndogo ya 12M nimefanikiwa kukutana na motokaa hii kwa jina la Mitsubishi Airtrek.kwa wale wataalam wa magari,hii...
Kwa hesima na Ruhusa ya Burn natangaza rasmi tangazo la ndoa yake kama kuna mwenye pingamizi aseme leo au na akae kimya milele alichokiunganisha Mungu na mwanadamu asikitenaginshe.
HARUSI YA...
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
Kongamano la Kwanza la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi 2009
Mada Kuu: Wanataaluma Na Vipaumbele Vya Taifa na Jinsi Wanavyoweza Kuchangia na...
Kuna nyumba ya vyumba sita inauzwa pale Mwananyamala 'B', ipo barabarani na inafaa kwa biashara. Kuifikia nyumba hiyo unaweza kutokea Victoria au Kinondoni. Bei ni shilingi milioni 50, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.