Wakuu,
Nimesaidiwa mara nyingi hapa. Shukrani za dhati kwa JF team. Asanteni sana wote pia. Ninaomba kusaidiwa zaidi.
Ninatafuta wataalamu /professionals wa interior & exterior design na...
MSICHANA Khadija Daudi (22), mkazi wa Mbagala Charambe aliuawa kikatili na mumewe kwa kuchomwa na kisu mgongoni kwa kile kilichodaiwa kuwa ni baada ya kukataa kuamka usiku kwenda kuokota embe...
Waungwana heshima mbele kwa wote, Jamani mwenzenu nimepata vihela kidogo nataka kuagiza gari angalau ninayo ipenda, napenda sana nissan x trail lkn sijui kuhusu hizi gari je zina matatizo gani...
Lipo Chanika Sungusia. Lina ukubwa wa heka mbili.Lina miti ya mimea mbali mbali ya matunda kama maembe, machungwa, minazi n.k pia lina aina nyingine za mimea ya mboga mboga. Lipo karibu na shule...
Wasalaam wana JamiiForums, Mimi naitwa Kanyika ninafuraha kubwa kujumuika nayi katika kuliendeleza hili libeneke. Nitajifunza kutoka kwenu nanyi mtapata chochote kutoka kwangu
MFANYABIASHARA Edmund Liwa anayefanya shughuli zake maeneo ya Kariakoo, ameuawa na majambazi baada ya kupigwa risasi wakati akiwa na wenzake nyumbani kwake Kimara Temboni jijini Dar es Salaam...
IDADI ya watu ambao bado haijafamika wamekufa baada ya kufunikwa na mlima uliosababishwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo huko kata ya Manka Wilayani Same mkoani Kilimanjaro...
WAKAZI waishio mabondeni wamepuuza agizo la Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Evance Balama la kuwataka wakazi hao waondeke maeneo hayo kwa kuwaepusha na madhara ya mvua zinazotarajiwa kuanza...
Ndugu wana JF kulala mahali pazuri ni jambo jema kamata kitanda kwa bei ya punguzo vimebaki vitanda vitatu tu kwa bei ya 250,000 tu kwa kila kimoja.Wasiliana kwa akamanyusi@yahoo.co.uk au 0713876210
Toyota Mark II,GX100,VVT-I Engine, 2000 Model,cc 2000,imetembea japan km 88,000. bei Milioni 9,mazungumzo yako kidogo,imelipiwa ushuru na imesajiliwa, Engine ni sawa na cresta gx100 new model ama...
Mimi ni mjasiriamali mdogo kwa sasa ninahitaji kufungasha bidhaa zangu kwa vifungashio vya kisasa (export quality) na kuuza bidhaa zangu kwenye supermarkert au kusafirisha kwenda nje naomba kama...
Jinsi ya KUPAISHA (upload) picha JF - Video
http://www.youtube.com/watch?v=0se1Ymoe29g
Warning: Nudity / Porn:
Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year's old members...
WAKUU WA JF naomba msaada wa key Pruduct ya DVD PHOTO SLIDE SHOW PROFFESIONAL nime Download kwenye Google nimepata ya trial ya mwezi sasa imekwisha wameniambia ninunuwe sasa naomba msaada kama...
Mark II GR going at a very affordable price ... Only 4.5 M
Gari inaita sana, (Angalia picha hapo chini) imekuwa ikitumiwa kwa kwenda ofisini na kurudi.
Other Particulars:
Year: 1992...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.