Habari wakuu,
Nauza toyota ist namba T 777 DBU milioni tisa na laki saba
Gari ipo ktk hali nzuri
Gari ipo dsm
Gari haijawai kugongwa popote wala kupakwa rangi
Call/Whatsap 0714 521 128
0786 119 448
Tunapokea oda za nyama ya ng'ombe kwa bei ya jumla, kuanzia kilo tano na kuendelea ikiwa una hotel, restaurant au any event usisite kuwasiliana nasi. 0689315582
Salaam wadau...nauza printing machines zifuatazo:
1.Minolta Heavy Duty Copier
2.Large Format Printer(Plotter)
Minolta zipo 2 nimezitumia kidogo sana but zinafanya kazi perfectly.Hii Plotter ni...
Habar wanaJF nahitaji fundi wa pikipiki aina ya Honda awe maeneo ya Kariakoo, posta, upanga au jangwani. Maana nataka niifanyie service pikipiki ya office. Ahsanten . Anayefahamu tafadhali nisaidie.
Make : TOYOTA
Model : Premio
Mileage : 19000 km
Engine size : 1790cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : two wheels drive (2WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color : Silver...
Make : TOYOTA
Model : Crown
Mileage : 97000 km
Engine size : 2490cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : two wheels drive (2WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color : Silver...
Gari aina ya Opaq inauzwa ipo Mbagala namba A ina tatizo kwenye Gearbox na haikai kwenye P bei 3ml mazungumzo yapo body ipo vizur na ndani ina muonekano mzuri sit zipo vizuri kioo cha mbele kina...
Jiunge Na mpango wa NYUMBA BUNIFU, mpango wa nyumba kupata kutokea Nchini, Unatakiwa kuwa Na milioni 7 tu, tutakupa kiwanja bure, ramani bure,bima, Na tutakukopesha nyumba baada ya kukamilika...
Nyumba inapangishwa Moshi Maeneo ya Rau Madukani.
Room: 4 (Master Bedroom 1)
Common Bathroom &Toilet.
Dinning room
Jiko (lina makabati yake)
Living room
Verandah
Vyumba vya nje (servants...
Karibuni mjipatie bidhaa nzur kwa kutoa mikunyazi usoni maalum kwa miaka kuanzia 35+ kwa ngozi aina zote, wake kwa waume.
Seti nzima ni Tsh 240,000 ukinunua complete kwa wakati mmoja unapata kwa...
Habarini wana jamvi natafuta natafuta mtu atakae niuzia mayai kwa bei ya jumla mayai ya kisasa nipo dar es salaam Tegeta. Namba zangu izo 0658936439,na 0682388102 napatikana whatsap pia
Naitaji magogo ya mkurungu kwa wingi sana kwahyo naitaji suppler awe na uwezo wa kuzalisha zaidi ya container 15 kwa mwezi
specification
length 9 feet
width. 6 inch
thickness 6 inch
nipo dar ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.