Natahitaji laptop kwa budget ya 700k

Jay2525

Member
Mar 5, 2014
68
120
Wakuu habari zenu. Naomba msaada ili nipate laptop nzuri kwa budgeti hiyo. Lakini ningependa processor yake isiwe chini ya 2.0Ghz
 
Mi ninayo HP Pavilion X2 touch screen ambayo ni detachable. Nimeitumia mwenyewe kwa miezi 6. Imetunzwa vema. Kwa 700k net nakuuzia.
 
Wakuu habari zenu. Naomba msaada ili nipate laptop nzuri kwa budgeti hiyo. Lakini ningependa processor yake isiwe chini ya 2.0Ghz
MKUU HIYO PESA NI KUBWA SAANA KWA MACHINE ZA 2GHZ UNAWEZA KUPATA TATU.. HIYO PESA TAFUTA machine yenye processor ya i5 mpya dukani..
 
Picha, upo wapi?
Nipo Mbeya. Tunaweza kuwasiliana. NiPM

IMG-20160524-WA0009.jpg
IMG-20160524-WA0009.jpg
IMG-20160524-WA0011.jpg
IMG-20160524-WA0012.jpg
IMG-20160524-WA0010.jpg
 
Ungeenda jukwaa la Tech ungepata msaada wa maana zaidi, though hata hapa upo, nakushauri ujaribu nakule.
 
SONY VAIO Pro 11 Touch Ultrabook
128GB SSD
4GB DDR3L-1600MHz
Internal lithium polymer battery (4125mAh) 6hrs battery life
Intel® HD Graphics 4400
4th gen Intel® Core™ i5-4500U (1.60GHz / 2.3GHz with Turbo Boost)
Touch screen, NFC, Backlit keyboard, USB 3.0x2, Bluetooth, HD webcam, Dual band wifi a/b/ac/n
Windows 10 Pro 64-bit
Carbon Black
11.6" Full HD IPS touchscreen display (1920 x 1080)
Very slim and light
800k (fixed)
Ipo Mbeya.
20160523_091449.jpg
20160523_091532.jpg
20160523_091604.jpg
20160523_091628.jpg
20160523_091707.jpg
20160523_091738.jpg
20160523_091756.jpg
20160523_091917.jpg
20160523_092006.jpg


check zaidi hapa muundo wake
 
Ninayo Hp Elitebook 8460p. RAM 4GB, HDD 320 core i5
Kwa 350,000. Nipo morogoro Mazimbu
1464172061062.jpg
1464172076543.jpg
 
Back
Top Bottom