Kapicha mkuu wangu naweza kuwa mteja wakoMi ninayo HP Pavilion X2 touch screen ambayo ni detachable. Nimeitumia mwenyewe kwa miezi 6. Imetunzwa vema. Kwa 700k net nakuuzia.
Picha, upo wapi?Mi ninayo HP Pavilion X2 touch screen ambayo ni detachable. Nimeitumia mwenyewe kwa miezi 6. Imetunzwa vema. Kwa 700k net nakuuzia.
Kama unataka laptop Sena
Mbona unachungu me mkenya mbongooo au mbogoo mwenyeweAseme mara ngapi? Wabongo bwana.
Mbona unachungu me mkenya mbongooo au mbogoo mwenyewe
Nichek kwa 0654776976 upate machine ya ukweliWakuu habari zenu. Naomba msaada ili nipate laptop nzuri kwa budgeti hiyo. Lakini ningependa processor yake isiwe chini ya 2.0Ghz
Kwa hiyo pesa unaweza kupata nzuri zaidi ya hizo specification zako mkuu,zunguka madukani 2Wakuu habari zenu. Naomba msaada ili nipate laptop nzuri kwa budgeti hiyo. Lakini ningependa processor yake isiwe chini ya 2.0Ghz
MKUU HIYO PESA NI KUBWA SAANA KWA MACHINE ZA 2GHZ UNAWEZA KUPATA TATU.. HIYO PESA TAFUTA machine yenye processor ya i5 mpya dukani..Wakuu habari zenu. Naomba msaada ili nipate laptop nzuri kwa budgeti hiyo. Lakini ningependa processor yake isiwe chini ya 2.0Ghz
MKUU HIYO PESA NI KUBWA SAANA KWA MACHINE ZA 2GHZ UNAWEZA KUPATA TATU.. HIYO PESA TAFUTA machine yenye processor ya i5 mpya dukani..
WHATVitu vingine muwe mnauliza...