1 Terabyte Transcend External Hard disk
bei = Tsh. 165,000/=
Ni mpya kabisa, nafanya free derivery kwa Dar es salaam pekee..
ukihitaji na movies, music, videos etc nitakuwekea bure..
zimebaki...
wakuu nina HTC desire 526g dual sim mpyaaa full box na seal..
nina jumla ya piece 42 nauza..
bei 310,000 kwa kila moja..
contact 0713 799 522..
warranty 2yrs
zipo dar.
Nakufanyia designing ya
Company Profiles za kisasa, Tshs 100,000
vipeperushi, busness cards za kisasa, Billboards, nk..(Maelewano)
Web designing (domain & Hosting Included), kuanzia 250,000...
Wadau natafuta vifaa muhimu kwa ajili ya kuanzisha ofisi ndogo ya stationery,yeyote mwenye kifaa husika kama printers,photocopiers,scanner,binding machines na vinginevo anichek inbox plz.
Nilitaka kuanzisha kampuni ya kutoa mikopo. Pamaoja na mambo mengine niliandaa " Lending Policies and Procedure Manual". Kwa sasa niko kwenye ufugaji.
Nauza " Lending Policies and Procedure...
Kwa mahitaji ya saa aina zote silver, gold, leather, rubber, za kiume, za kike, za watoto, brand zote, karb niwaellyfashions, duka linapatikana Makumbusho nyuma ya Access Bank. Tunafanya pia door...
Salaam wadau...kiwanja kinauzwa kipo Bahari Beach...pembeni ya Bahari beach hotel,kinaukubwa wa 1 acre na kiko fenced.Kina hati.Pls chek me inbox tuongee zaidi.0689900000.Email info@jassociates.co.tz
Nahitaji mkopo wa haraka wa milioni moja au laki 5, kulingana na uwezo wa mtoaji... utarejeshwa ndani ya mwezi mmoja na nasu ( kiasi nilichokopeshwa pamoja na riba yake) anaeweza kutoa anipm ila...
kama nilivyo ainisha kichwani hapo.
ninashida na chumba cha kupanga kama nilivyo elezea hapo juu!kwa maeneo hayo niliyo orothesha!
naomba kutumiwa kwa whatsapp nicheki 0719909267
Wakuu asylum aleku
Nauza Noah new model rangi nyeupe
Gari ipo ktk hali nzuri
Vibali vyote vipo ok
Gari ipo dsm
Bei milioni 8.5
Contacts
0714 521 128
0755 250 820
Nauza Toyota Premio new model (2005 year) ya silver plate number T664 DCU kwa milioni 11
Gari ina mwaka mmoja tu barabarani
Gari inapatikana Kariakoo
Gari haina tatizo lolote, haijawai kugongwa...
Mafundi wa umeme pamoja na ujenzi wanapatikana kwa urahisi zaidi
tunafanya ;
1. domestic installation
2.industrial installation
3.fixing and fitting tiles
Pia vifaa vyote vinapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.