Kiwanja kipo jirani na Goba mjini ukubwa 40 kwa 50
Bei 35ml
Pako vizr pamejengwa kwa mpangilio mzuri mitaa ya kueleweka na njia nzr hadi kwenye plot.
Mawasiliano 0756060183/0715060183
Hello bosses!
Ni heat press machine kubwa nzuri na mpya garentiii mwaka mmoja. Ina ukubwa wa size ya A2 kazi ni kwako tu kupiga kazi nzito.
Inakaratasi za OBM 200pcs,ina karatasi za transfer...
Husika na mada tajwa hpo juu.
Baada ya kuwa nimetapeliwa kwa kubadilishana na mtu simu fake, nimejipiga piga hatimaye nimepata laki nane ambayo nimepanga nikachukue simu original dukani.
Naomba...
About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
Wakuu kwema jamani.
Nina Shida nadhani naweza pata msaada hapa. Nilifanya booking ukumbi wa Danken house mikocheni kwa tarehe 25 June 2016, sasa kwa Bahati mbaya shughuli yangu haitakuwepo tena...
Haina tatizo lolote, nataka tu kubadili simu
Dimensions 129 x 68.2 x 8.9 mm (5.08 x 2.69 x 0.35 in)
Double line
Betri inakaa sana (hii ni added advantage)
Camera
Primary 5 MP, f/2.2, 31mm...
Habari?
Aise natafuta kampuni reliable (isiyo na magumashi) wanaoweza kunitengenezea green house. Kama wewe ni muhusika au unamfahamu muhusika au kampuni nijulishe kupitia 0713158779 au PM. Kazi...
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.