Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

1 Terabyte Transcend External Hard disk bei = Tsh. 165,000/= Ni mpya kabisa, nafanya free derivery kwa Dar es salaam pekee.. ukihitaji na movies, music, videos etc nitakuwekea bure.. zimebaki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu nina HTC desire 526g dual sim mpyaaa full box na seal.. nina jumla ya piece 42 nauza.. bei 310,000 kwa kila moja.. contact 0713 799 522.. warranty 2yrs zipo dar.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
1 month used internal 64gb Ram 1gb Spacegray color Price 1,150,000 Haina tatizo loloteeeee na iko approved by TCRA Contact 0659633720
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Nakufanyia designing ya Company Profiles za kisasa, Tshs 100,000 vipeperushi, busness cards za kisasa, Billboards, nk..(Maelewano) Web designing (domain & Hosting Included), kuanzia 250,000...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau natafuta vifaa muhimu kwa ajili ya kuanzisha ofisi ndogo ya stationery,yeyote mwenye kifaa husika kama printers,photocopiers,scanner,binding machines na vinginevo anichek inbox plz.
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Nilitaka kuanzisha kampuni ya kutoa mikopo. Pamaoja na mambo mengine niliandaa " Lending Policies and Procedure Manual". Kwa sasa niko kwenye ufugaji. Nauza " Lending Policies and Procedure...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Kwa mahitaji ya saa aina zote silver, gold, leather, rubber, za kiume, za kike, za watoto, brand zote, karb niwaellyfashions, duka linapatikana Makumbusho nyuma ya Access Bank. Tunafanya pia door...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mwaka 2005,Good Condition,Full Ac,CC 1300,Bei Mil 5.5,Kwa mawasiliano zaidi 0676040772
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wadau...kiwanja kinauzwa kipo Bahari Beach...pembeni ya Bahari beach hotel,kinaukubwa wa 1 acre na kiko fenced.Kina hati.Pls chek me inbox tuongee zaidi.0689900000.Email info@jassociates.co.tz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji mkopo wa haraka wa milioni moja au laki 5, kulingana na uwezo wa mtoaji... utarejeshwa ndani ya mwezi mmoja na nasu ( kiasi nilichokopeshwa pamoja na riba yake) anaeweza kutoa anipm ila...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
5 GB SSD CACHE STORAGE 100 GB MONTHLY BANDWIDTH UNLIMITED EMAIL LIST UNLIMITED DATABASE LIST HOST 2 WEBSITES OFFSHORE SERVERS YOUR HOST, YOUR CONTENT (HOST ANYTHING, pirated scripts, porn etc)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Invalid.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
kama nilivyo ainisha kichwani hapo. ninashida na chumba cha kupanga kama nilivyo elezea hapo juu!kwa maeneo hayo niliyo orothesha! naomba kutumiwa kwa whatsapp nicheki 0719909267
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tu nachora Ramani za Nyumba za kisasa Kwa Bei nafuu Sana. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi popote ulipo Kwa WhatsApp +255717040837 au +255767 267664
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Jamani kwa wale waliopo dar kuna pikipiki znaitwa VROX nimezielewa sana nlikuwa naomba kwa aliye dar anambie zinapatikana kwa bei gani.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Tunauza bati imara zisizopauka kutoka kampuni za Alaf,Dragon,Sunshare na Afrina company bei zetu za kiwandani, tupo buguruni chama or call 0713283760
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu asylum aleku Nauza Noah new model rangi nyeupe Gari ipo ktk hali nzuri Vibali vyote vipo ok Gari ipo dsm Bei milioni 8.5 Contacts 0714 521 128 0755 250 820
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza Rav4 ya mwaka 1999 milango mitano, ina airbag mbili. gari imetembea 100000km tu Gari haijawai kuguswa wala kupigwa rangi Vibali vyote vinakufa mwakani Contacts 0714 521128 0786 119448
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza Toyota Premio new model (2005 year) ya silver plate number T664 DCU kwa milioni 11 Gari ina mwaka mmoja tu barabarani Gari inapatikana Kariakoo Gari haina tatizo lolote, haijawai kugongwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mafundi wa umeme pamoja na ujenzi wanapatikana kwa urahisi zaidi tunafanya ; 1. domestic installation 2.industrial installation 3.fixing and fitting tiles Pia vifaa vyote vinapatikana...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Back
Top Bottom