Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je unahitaji mtu wa kufanya nae biashara? Supplier au Agent? Kama we ni mfanyabiashara na unatoa bidhaa nje ya nchi nicheck kwa number 0718375766 kwa mazungumzo zaidi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi Mwidadi M. Msangi...nimechaguliwa mmojawapo wa washindi wa shindano la kusanifu nembo ya mahakama ya rufaa Tanzania. Kupata logo(nembo) au ramani za nyumba tuwasiliane kupitia no 0752450273...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Brand new iRhoomba kifaa cha kufanya usafi ktk nyumba yako kama ilivyo vacuum cleaner isipokua yenyewe inasens uchafu ulipo, haianguki kwenye ngazi, unaiprogram ifanye usafi kwa siku, wiki, mwez...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za leo wanabodi, Kwa mtu binafsi au kampuni ambayo iko tayari kufanya bishara ya magogo au mbao na wachina kuna kampuni ya kichina inatafuta reliable supplier wa mbao au magogo. Hasa...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
wandugu kama nilijieleza kwa aliye nacho na kiasi cha bei tafadhali tuwasiliane kwa namba 0756494249. ili aniuzie. asante.
0 Reactions
0 Replies
705 Views
6 acres land fore sale located at africana mbezi dar es salaam suitable for industry, hotel, schools etc Price Tshs. 900 mil , all necessary legal documents are available . contacts...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kuna dogo yupo arusha anasoma chuo anahitaji.mishe yoyote au kazi ya kufanya weekend ili apate pesa maana anasoma na anahitaj kupata pesa Huyu kaka anataka kazi hasaa wekeend kwa arusha jamani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi,nahitaji msaadawenu wa mawazo,kwa anaejua bei ya hizi toyo za miguu mi3 kwa ajiri ya kubebea mizigo zinauzwaje?na wazoefu wa biashara hii ukimkabidhi mtu anakupatia shimgap kwa siku?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
I
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wakuu Kwa wale wauzaji wa Keyboards/vinanda aina ya yamaha na corg, pamoja na boosters naomba mjitokeze
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Limited space available to the biggest real estate exhibition in Tanzania. Don't miss out call now and book your space among the greats in real estate.
0 Reactions
0 Replies
615 Views
wasalam naomba kupata namba ya wakala wa sigara, ambae mi naweza kuuza kwa jumla sigara kwa watu wa rejareja
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama unahitaji vifaa hivi kwa ajili ya biashara tafadhali wasiliana na 0653579325.Anaviuza kwa bei nzuri naamini na ni vipya ,havijatumika. Specification for Oven The oven has one deck, two...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wadau..Anahitajika Secretary/office Manager.Ofisi ipo dar es salaam Upanga n inajihusisha na mambo ya sheria.Kazi kubwa ni 1.Kusafisha Ofisi 2.Kupokea wageni 3.Kuiangalia ofisi hasa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta macbook kwa dark market ila iwe kwenye hali nzuri, kama unayo tufanye biashara Nawasilisha [emoji115] Limited edition
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Bei ni kuanzia 3.5 tunaelewana, used kwa miezi 4, haina tatizo lolote, unapewa na accesories zake. Kwa aliyeko dodoma namletea alipo check me 0712385672
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Wajasiriamali habari. Nauza mashine mpya ya kukamulia juisi ya miwa. Mashine hii ni nzuri kwa maana ni ya mkono haitumii umeme hivyo kutokana na tatizo la umeme dar na tanzania kwa ujumla basi kwa...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Habari wana JF, nauza juice dispenser yenye mitungi miwili kila mtungi unauwezo wa lita kumi... Imetumika lakini Iko kwenye hali nzuri ina miezi 9 tangia inunuliwe... Anayehitaji ani PM au ni text...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Njoo nikuwekee ulinzi kwenye simu yako utakao kusaidia kuifanyia tracking kipindi inapotea...! Bila ya aliyeichukua kujua...! Tsh. 5,000 kwa sasa nafanyia simu za android tu...! 0655-659-115...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vyumba vya biashara vyenye ukubwa tofauti na bei tofauti vinapangishwa Uhindini, jijini Mbeya. Kwa mawasiliano, 0754060350,0716252818
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom