jJITA VOCATIONAL TRAINING COLLEGE (JITA VTC)
Tunawakaribisha vijana wote wenye mtazamo mbadala hasa baada ya kupata ufaulu/matokeo ambayo hayakuwaridhisha.
Tusiwakatishe tamaa na wao hawana sababu...
Nina milioni 4 nahitaji gari haswa na.C iliyoko kwenye hali nzuri. Au kama na.D naweza toa milioni 5.
Nitumie picha na bei whats up tukikubaliana nije kukagua tayari kwa buashara.
A au B liwe...
Kabila ni samsung. For 900000.. tutaelewana karibuni.
Ni kubwa la milango miwili.
Halina tatizo lolote lipo kama jipya.
Mashine ya kufulia ni kilo 6 for 350000
0717622717 or 0776950000.
Wakuu wa nchi ninayo Landcruaser Prado TX diesel engine. Iko safi kabisa imeparking tu uani .Nilikuwa nahitaji hizi landcruaser hardtop kwa ajili ya kupeleka wageni wangu safari ndio maana...
Habari wana JF
Naomba kufahamishwa sehemu ninayoweza pata mabox ya kubebea vifaranga vya kuku. Mabox hayo huwa yametobolewa ili kuruhusu hewa kuingia wakati vifaranga vinasafirishwa.
Nawasilisha
Nyumba nzuri,mpya na ya kisasa ipo maeneo ya Mbagala chamazi.Imejengwa ktk ubora wa hali ya juu na ipo karibu na barabara na huduma nyengine za kijamii...
Habari zenu waungwana bila shaka mko poa
lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuomba kama kuna mdau anaefaham soko la bamia kwa dar,, nina bamia la kutosha nalimia bagamoyo ,,navuna kila baada ya siku moja
Wataalam!!
Kwanza napenda kutoa malalamiko yangu kwa hiyo namba iliyowekwa hapo imeishia na 36, sijui ndo salesmen wao au lah, khaa...hapokei simu, akipokea anaongea uwongo khaaa.....
_BACK TO...
Wanunuzi wa magari yaliyotumika wanapatikana masaa 24, siku saba za wiki.
Kama una miliki gari na unahitaji kuliuza wasiliana nasi tukupatie mtu wa kununua tukuondolee msongo wa mawazo unaoweza...
Nyumba ipo boko/ mianzini dare salaam
Plot size sqm 1000
Haina title deed
Ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master moja
Ina jiko
Sebure
Na sehemu ya kulia chakula
Pia ina tailiz ndani...
Kwakweli hii mobile application yenu ni nzuri sana.
Kwa watu kama sisi tunaokesha mashambani kulima matikiti inatusaidia sana, ni swala la kuhakikisha tu chaji itakua full, lakini swala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.