Ipo mwenge karibu kabisa na bamaga stendi master rum sebule na jiko vyote ndani maji 24hrs ndani yà geti na parking ipo bei laki230 ukishalipa hakuna bili yyte zaidi ya kujinunulia Umeme Luku ya kwako
Ipo kwenye hali nzuri haina tatizo na ipo fresh kabisa sema adapta ilidondoka imeachia kidogo ila chaji inapeleka fresh bei ya offer 700000 pungufu tunaongea
0774808742 nipo Dar
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
1. Anahitajika mtalaam wa maabara mwenye certificate yaani technician certificate in medical laboratory
technology *nafasi moja*
2. Anahitajika muuza duka la dawa (pharmacy ) mwenye...
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi mwisho karibu na Songas
Gharama. 15M ina maelewano mazuri ya punguzo la bei Au kulipa kwa awamu.
Size ni miguu 10 kwa 30
Tayari kilianzishiwa ujenzi wa nyumba ya...
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
Ni Eneo la Hekari 50 lililopo Tonga malenga (Ruaha IRINGA).Unaweza kulitumia kwa kujenga sehemu ya watalii (Camp site) kwa sababu wanyama toka mbuga ya Ruaha (Ruaha National park ) hua wanatembea...
Nyumba yenye vyumba viwili na sitting room inapangishwa Mbezi ya kimara .kimoja master room .kina,choo ndan .na nyumba yenye get na parking gari .inapangishwa sh 140,000 kwa mwezi.contact whatsap...
Nauza desktop yangu ya HP compaq shilingi 250,000 ina specs hizi
-processor ni core 2 duo e8400 3.0ghz
-ram yake ni 2gb
-hdd ni 160gb
-ina gpu ya nvidia gt 210
-port 4 za display HDMI, VGA mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.