Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Brand: Iphone 6+ Storage: 16Gb Colour: space grey Price: 1.1M Full [emoji403] [emoji338] 0654179727
1 Reactions
0 Replies
654 Views
Ipo mwenge karibu kabisa na bamaga stendi master rum sebule na jiko vyote ndani maji 24hrs ndani yà geti na parking ipo bei laki230 ukishalipa hakuna bili yyte zaidi ya kujinunulia Umeme Luku ya kwako
0 Reactions
0 Replies
668 Views
natafta motherbody ya hp probook 450 g2 i5, hela ipo km unayo na ni nzima nichek, fasta nakuja kuchukua, yng imepiga shot
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Sitting room Dinning room Jiko&store Master bedroom 1 Single bedroom 2 Public toilet 1 Full alluminium windows Umeme&maji vipo 0656 698232
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ipo kwenye hali nzuri haina tatizo na ipo fresh kabisa sema adapta ilidondoka imeachia kidogo ila chaji inapeleka fresh bei ya offer 700000 pungufu tunaongea 0774808742 nipo Dar
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
1 Reactions
2 Replies
832 Views
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Anahitajika mtalaam wa maabara mwenye certificate yaani technician certificate in medical laboratory technology *nafasi moja* 2. Anahitajika muuza duka la dawa (pharmacy ) mwenye...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
OFFER....OFFER... nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT
3 Reactions
101 Replies
19K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi mwisho karibu na Songas Gharama. 15M ina maelewano mazuri ya punguzo la bei Au kulipa kwa awamu. Size ni miguu 10 kwa 30 Tayari kilianzishiwa ujenzi wa nyumba ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ntayapata wapi hapa morogoro
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Ni Eneo la Hekari 50 lililopo Tonga malenga (Ruaha IRINGA).Unaweza kulitumia kwa kujenga sehemu ya watalii (Camp site) kwa sababu wanyama toka mbuga ya Ruaha (Ruaha National park ) hua wanatembea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba yenye vyumba viwili na sitting room inapangishwa Mbezi ya kimara .kimoja master room .kina,choo ndan .na nyumba yenye get na parking gari .inapangishwa sh 140,000 kwa mwezi.contact whatsap...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
playstation 3 Inauzwa laki 3, unatumiwa popote ulipo Maongezi yapo
0 Reactions
2 Replies
614 Views
Waziri amekataza
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Nauza desktop yangu ya HP compaq shilingi 250,000 ina specs hizi -processor ni core 2 duo e8400 3.0ghz -ram yake ni 2gb -hdd ni 160gb -ina gpu ya nvidia gt 210 -port 4 za display HDMI, VGA mbili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Poll Poll
680000
1 Reactions
6 Replies
957 Views
Back
Top Bottom