Nina shida na mfanyabiashara wa matunda kenya

mh machungwa kwa kenya mkuu sidhani maan wao wanatoaga ukambani ni makubwa kuliko yetu ila ngoja kunajaangu ndo mzoefo zzidi huko nitacheki nae asubuhi maana muda huu ni 2:08 sio sawa
 
Back
Top Bottom