bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,116
Wataalam!!
Kwanza napenda kutoa malalamiko yangu kwa hiyo namba iliyowekwa hapo imeishia na 36, sijui ndo salesmen wao au lah, khaa...hapokei simu, akipokea anaongea uwongo khaaa.....
_BACK TO THE TOPIC_
Je, Bei hizi walizoweka hawa autocar, ndo bei halisi za magari haya, kama walivyosema wenyewe?
Hebu cheki hizi screenshot!!
Eti
harrier inauzwa 5M kweli jamani?
yaaniiiii......
khaaa......
yelewiiii.....
Kwanza napenda kutoa malalamiko yangu kwa hiyo namba iliyowekwa hapo imeishia na 36, sijui ndo salesmen wao au lah, khaa...hapokei simu, akipokea anaongea uwongo khaaa.....
_BACK TO THE TOPIC_
Je, Bei hizi walizoweka hawa autocar, ndo bei halisi za magari haya, kama walivyosema wenyewe?
Hebu cheki hizi screenshot!!




yaaniiiii......

khaaa......

yelewiiii.....

