OFA OFA OFA
JIPATIE WEBSITE,HOSTING NA DOMAIN KWA SHILINGI 300,000/= TU.
HUDUMA ZETU NYINGINE.
1: TUNATENGENEZA MOBILE APPS,(ANDROID +IOS) KWA BEI RAHISI SANA KUTEGEMEANA NA HITAJI LAKO...
wakuu nahitaji eneo la kufanyia biashara ya chipsi hapa dar,bajeti yangu ni laki 3 kwa kulipia iwe miez sita ama la ila ninayo laki 3 ya kodi.. napatikana survey near mlimani cty..Nikipata eneo...
Ofa kwa wana JF!
Jipatie computer ya kisasa kabisa aina ya Acer Veriton.
Komputer ni sawa na mpya. Naiuza kwa kuwa nimeamua kuireplace na laptop...
Spec ni kama zilivooneshwa hapo...
Computer...
VIWANJA VINAUZWA,mita 20 kwa mita 20 (HATUA ZA MTU MZIMA 25 KWA 25) vipo MAJOHE -DAR-ES-SALAAM vipo barabarani, Viwanja viwili vya mbele bei ni m.15,viwanja vya nyuma m.14 barabara imeachwa kwa...
Wakuu kwema?
Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana.
Kila naada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12.
Nimebadilisha maji lkn bado.
Naomba kujua bei ya...
Habarini,
Nimeombwa nilete tangazo la Kiwanja kilichoko Mbutu, Kigamboni
Ukubwa ni Sqm 649,
Unaenda mpaka ghorofa za Dege Eco Village kisha unaingia Kushoto Kuelekea upande wa Baharini,
Kiwanja...
Natafuta gari ambayo haijatumika sana ndogo ndogo, toyota saloon, passo,IST, au yoyote ile ya hivi karibuni. Bajeti Kuanzia isizidi 5 mil ikipungua ni nzuri zaidi... 0714777211 kama unayo tuma...
GS POWER INSTALLATION LTD INAYOFURAHA KUWATANGANZIA UMMA MNAMO TARH 1.4.2017 INAFUNGUA CHUO KITACHOJULIKANA KAMA GS POWER TRAININNG CENTRE MASOMO YATAKAFUNDISHWA NI
-ELECTRIC FENCE...
Kichwa cha habari chahusika,kwa mwana jf mwenye Toyota Cresta Exceed iliyo kwenye hali nzuri namaanisha:
ina mileage zinazorishisha,kuanzia namba B,nyeupe/cream/silver ani pm tufanye biashara...
Husika na kichwa cha uzi hapo juu,
Naomba kujuzwa kuhusu kampuni/maduka, mahali na bei ya hivi vifungashio. Vifubgashio hivi ni kwaajili ya kufanya packaging ya maziwa.
Nipo Dar es Salaam.
Wakuu kwema?
Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana.
Kila baada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12.
Nimebadilisha maji lkn bado.
Naomba kujua bei ya...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 natafuta nafasi ya kazi ya upambaji popote pale tanzania..... pia kama una sherehe yako unahitaji kupambiwa wasiliana nami 0672417132.
Kampuni inaitwa Law Domain tuko Dar es salaam tunatoa huduma za kisheria, legal consultation, kwa wale wanaohitajia tafadhali wasiliana nasi kwa namba hizi;
+255 222182212
+255685646786
au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.