Nauza desktop yangu ya HP compaq shilingi 250,000 ina specs hizi
-processor ni core 2 duo e8400 3.0ghz
-ram yake ni 2gb
-hdd ni 160gb
-ina gpu ya nvidia gt 210
-port 4 za display HDMI, VGA mbili...
Eneo: Goba njia nne
Kimepimwa na kina namba ambayo ni plot 144
Size: 1490 sqm
Bei: 26 mils maongezi yapo
Mawasiliano: +255714481167. huyo ndiye mhusika mwenyewe
KUNA WIZI MPYA UMEANZA KUSHIKA KASI HUMU HASA WANUNUAJI WENGI AMBAO NI MATAPELI.
Wakuu heshima kwenu wana jukwaa,
Kuna wizi mpya wa simu umeingia kwa kasi ya ajabu kuna watu wanachukua namba za...
Usiende kariakoo ni duka linalopatikana Sinza Madukani opposite na AAR HOSPITAL
Tunauza nguo,viatu(vya ofisini +raba) vya kike na kiume kwa bei nafuu kuliko kariakoo
Tunauza kwa jumla na...
Nahitaji Kiwanja Mwanza,maeneo ya Luchelele,Buswelu.Minimum Sq.metres 600, maximum 800 sq.metres.Kiwe Surveyed, Miundombinu ya Maji,umeme na Barabara iwepo.Mwenye nacho aje PM.Madalali si ruxa.
Naitwa William nipo shinyanga ,kama mnavyojua ukipatwa na shida ulichonacho ndo kinakusaidia ,nimekuja mbele yenu wadau kama sehemu ya kutatua shida yangu kupitia godoro langu
Ninauza jamani...
Biashara hii iko Mbezi mwisho, Kibanda cha Mkaa, iko sehemu iliyotulia na mzunguko wa watu ni mkubwa, ina kila kitu ni kuingiza vinywaji tu unaanza kazi. Bei yake ni pamoja na kodi ya miezi 5...
MAJAKI BATIKI FASHION ni wataalam wa kutengeneza na kufundisha Batiki aina zote (BATIKI, TIE & DYE, BREACH, VIKOI + KANGA BATIKI, PICHA BATIKI na aina zingine nyingi)
Tunafundisha kwa bei nafuu...
Kwa wakazi wote wa Morogoro tunapenda kuwakaribish Pweza Center iliyoko Masika, utajipatia supu ya pweza, chips za mwendokasi, na supu, ya kuku, na vyakula vingine vingi kwa bei poa na huduma zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.