Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza unga natafuta wateja bei zangu ni nafuu sana kilo 1 sh 700 tu upo wa aina zote
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msimu wa biashara umesha anza kule nchin china wale wafanya biashara mliokuwa mnasubiria kuanza kuta oda javis tushafungua ofisi zetu kwa huduma za manunuzi,na usafirishaji wa mizigo yenu tupo kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
IKIWA UNAUZA NYUMBA MAENEO YA MIKOCHENI WASILIANA NAMI NIKUONGANISHE NA MNUNUZI ANA PESA TAYARI MKONONI. KAMA UNAYO NIPIGIE AU NIWHASAPISHE KATIKA HII NAMBA 0784225000
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Processor 2.5GHz intel core i5 Screen Size 13.3" inch Ram 4GB 1600 Mhz DDR3 Graphics intel HD graphics 4000 1536 MB Internal storage 500GB
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Gari tajwa hapo juu inauzwa haina deni lolote na haina tatzo lolote. Iko dsm anayehitaji anichek 0713806766. Bei milion 8.5 karibuni
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa ipo Maeneo ya Temeke Wailesi jijini Dar es salaam. ipo eneo lililopangwa vizuri yaani ni mtaani. Inauzwa kwa bei ya Milion 180. Nyumba ina nyaraka zote na haina mgogoro wowote...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa niaba ya mdogo wangu Natafta gari ya tone 4 ya million 19 mwenye nayo ani pm aina ya gari fusso au, Isuzu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MIILLIONAIRES ARE BEING MADE!!! MySureCash! ~ #MSC Sweeter than MMM, GIVERS FORUM et al.... Call: +2347066310925 1⃣ Get 50% of your investment within 28 days of donating cash. 2⃣ Guaranteed...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Duka/kiwanda zinauza vifungashio vya bidhaa za wajasiliamali kama shampoo...asali n.k kwa Dar esr salaam. Msaada kwa hilo....
0 Reactions
0 Replies
737 Views
OFA OFA OFA JIPATIE WEBSITE,HOSTING NA DOMAIN KWA SHILINGI 300,000/= TU. HUDUMA ZETU NYINGINE. 1: TUNATENGENEZA MOBILE APPS,(ANDROID +IOS) KWA BEI RAHISI SANA KUTEGEMEANA NA HITAJI LAKO...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wakuu nahitaji eneo la kufanyia biashara ya chipsi hapa dar,bajeti yangu ni laki 3 kwa kulipia iwe miez sita ama la ila ninayo laki 3 ya kodi.. napatikana survey near mlimani cty..Nikipata eneo...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Ofa kwa wana JF! Jipatie computer ya kisasa kabisa aina ya Acer Veriton. Komputer ni sawa na mpya. Naiuza kwa kuwa nimeamua kuireplace na laptop... Spec ni kama zilivooneshwa hapo... Computer...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Inahali nzuri kabisa imetumika miezi mitatu tu hii inapatikana hapa sumbawanga mjini Rukwa Bei ni 190000 tu serious buyer call 0755224099
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu naombeni kujua bei ya external hard disc GB 300 dukani ni shilling ngapi coz nataka nikanunue ili nihifadhi vitu vyangu vya muhimu vya kazini.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nauza feni aina ya amigo bei ni 40000 pia meza ya plastic 25000..nipo morogoro mjini Number yangu and email . Karibuni sana
0 Reactions
1 Replies
6K Views
VIWANJA VINAUZWA,mita 20 kwa mita 20 (HATUA ZA MTU MZIMA 25 KWA 25) vipo MAJOHE -DAR-ES-SALAAM vipo barabarani, Viwanja viwili vya mbele bei ni m.15,viwanja vya nyuma m.14 barabara imeachwa kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana. Kila naada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12. Nimebadilisha maji lkn bado. Naomba kujua bei ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini, Nimeombwa nilete tangazo la Kiwanja kilichoko Mbutu, Kigamboni Ukubwa ni Sqm 649, Unaenda mpaka ghorofa za Dege Eco Village kisha unaingia Kushoto Kuelekea upande wa Baharini, Kiwanja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta gari ambayo haijatumika sana ndogo ndogo, toyota saloon, passo,IST, au yoyote ile ya hivi karibuni. Bajeti Kuanzia isizidi 5 mil ikipungua ni nzuri zaidi... 0714777211 kama unayo tuma...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom