Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Miche ya pilipili mbuzi inahitajika upesi. Inahitajika miche 1300
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunaprint tshirts kwaajili ya familia,wapenzi,vijana,shule,kampuni,vikund.nk kwa gharama nafuu sana tuwasiliane kuweka order yako 065419108 Pia karibu uweke order yako ya tshirt za valentines day
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wale wanaopenda kupendeza karibuni mpate raba kali hvyo ni baadhi so ni PM kwa namba 0654179727 kwa maongezi zaidi karibun sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Hapa ni sehemu maalum ya kuuza Nyumba, kiwanja na shamba. Ni sehemu ya kukutanisha muuzaji na mnunuzi moja kwa moja au kupitia Dalali. Habari na matangazo yatolewe kiusahihi...
0 Reactions
45 Replies
11K Views
Gari aina ya premio corona inahitajika
0 Reactions
8 Replies
2K Views
inauzwa ipo kwenye hali ya upya haina shida hata 1 .bei haishuki
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nna shida sana na hiyo software mwenye nayo please,,, NIPO DAR ES SALAAM
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Utapimiwa eneo lako kwa bei nafuu. Pamoja na ushauri utapata juu ya nin kifanyike katika eneo lako. Piwima leo upandishe thamani ya ardhi yako leo. Njoo tukupimie njoo tukupe ushauri juu ya ardhi...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Ule wakati wa kwenda kwenda kwenye harusi unanukia spray ya seduction, katikati ya sherehe uende chemba kidogo urudie kuspray umekwishaaaa... Pata perfume original maalum kwa matumizi ya nyakati...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Natafuta shule ya Boarding ya mchanganyiko Cape town, kwa form one naomba msaada wenu.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Bado kuna wanafunzi wengi wanafeli mitihani ya kidato cha 4 na cha 6. Wengine walishafeli zamani wakarudia mitihani, na bado hawakupata alama, sasa hawajui cha kufanya. Kwa bahati mbaya wengi wao...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo Mwanza,kama unahitaji kukodisha Noah kwa shughuli za Harusi N.K,Karibu nikukodishie.Tuwasiliane kwa 0742159555
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Vinapatikana kila aina na Saizi tofauti .kwa maelekezo zaidi piga namba 0672:716267
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Habari, Ninahitaji mchoraji katuni kwa ajili ya katuni show tunayoitengeneza. Hii ni kazi yetu wenyewe hatulipwi kwa hiyo nawe hautalipwa kwa sasa. Pindi tutakapo anza ingiza pesa kutokana na hiyo...
0 Reactions
2 Replies
719 Views
3 bedrooms( one self contained), kitchen,sitting/Dining room, Bathroom, public toilet, nje kuna parking 2-3. Nyumba ipo katika uzio mkubwa wenye ma-*gates ndani ya eneo la NSSF. Kodi 250,000 kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
MATUKIO ya vifo yanazidi kupamba moto jiji la Dar es s Salaam ambapo watu wanne wamekufa katika matukio tofauti jijini humo MATUKIO ya vifo yanazidi kupamba moto jiji la Dar es s Salaam ambapo...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
pata laptop aina ya hp probook 5320m kaliii kwa bei nafuuu icore i5 500gb hdd 4gb ram 2.53ghz 3hours baterry life time kama uko busy sana hdmi supported bei 480000/= Location dar
1 Reactions
1 Replies
923 Views
Nauza viatu vya kike na vya kiume kwa bei nzuri kuanzia 15,000 na kuendelea. Napatikana Kibaha kwa walio Dar kiatu utaletewa kwa gharama ya sh.2000 mikoani utatumiwa kwa sh.5000 Napokea order...
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Wakuu habari! naitaji mayai ya kanga kwa ajili ya kutotolesha nipo dar es salaam.Ni pm au weka namba yako nitakucall kama unayo
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom