Habari zenu wadau.
Nahitaji remote ya subwoofer kwa anayefahamu wapi naweza pata au kama anayo tufanye biashara.
Remote iliyokuwepo ilikuwa inaongeza sauti,bass na stereo lakini haiwezi...
Shamba lenye ukubwa wa ekali 38 pamoja na miti yake aina ya mpaina yenye umri wa miaka 5 naliuza. Shamba lipo wilayani Mufindi maeneo ya Mudamulo-Mafinga. Ekali moja ni sh. 1,000,000 tu. Unaweza...
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
Jamani ndugu zangu,
Kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa magari ya abiria aina ya Costa. Naomba kujua gharama zake kwa jipya na yeyote anaejua linapopatikana lilianza kutumika na...
Ni mashine inayotumika kuchoma
Kuku(chicken grill)
Inatumia umeme pia unaweza Tumia gas.....
Msingi/tumbo moja unaweza kuwapanga Kuku 6...na sehemu za kuwaweka Kuku ziko fimbo 5...
Kwa hiyo kwa...
Wakuu habari nna gheto langu nahitaji kulipendezesha kidogo. Na carpets na mapazia ka nimuuzaji au una hata account ya social media ya wauzaji waweza nisaidia na kusaidia wengine kupitia nyuzi hii
Wakuu,
Natafuta kompyuta ya mpakato (laptop) yenye specifications zifuatazo au zinazokaribiana na hizo;
1. HDD: 500GB+
2. Processor: Core i5 au i7.
3. Operating System: Windows7 au 10 yenye...
Brand : Xiaomi Model: Redmi 3x
Mzigo ni 420k
✓✓used - about 4 weeks now but still iko vzuri sanaa { Gold Color}
✓2Gb RAM × 32Gb ROM
✓13Megapixels rear camera
✓5 Megapixels front camera
✓4G...
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
Habari,wanaJF Nauza MATANK YA KUHIFADHIA MAJI YA SIMTANK...Yapo mawili moja ni la "LITA 10000"..na lengine ni la "LITA 7000"...Yote yapo vizuri hakuna Hata Moja lenye kiraka na yamezungushiwa...
Habari wana JF natumaini wote ni wazima,
Nauza kuku aina ya Broiler na wapo tayari kabisaa kwa sh 5500 jumla wapo 200.
Nipo makongo juu karibu na CCM.
0788838821
Karibuni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.