Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je umesikia kuhusu adspesa, ni kwa wote wenye blog au website mwaweza pata adse zakuweka kwenye blogs zenu kupitia adspesa. Tembelea website ya adspesa upate matangazo uanze kutengeneza hela...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba 4 vya kulala (1master bedroom), Sitting & dining room, jiko la kisasa, store, choo cha public, tiled, gypsum, paving block, kisima cha maji, fensi na parking ya...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
*HABARI NJEMA* CRM FINANCIAL SERVICES, ni kampuni inayojishughulisha na miradi ya *Mifugo, Ufugaji na kilimo* iliyopo mbezi beach tangi bovu jilani na jengo la mbezi Park, tunatoa huduma...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu zangu haya mafuta original wanauza 75,000/kama unajua mahali pengine kwa bei nzuri naomba niambie,Mazuri saana ,sasa yana karibia kuisha na muhusika simpati Kabisa hewani,ni mazuri mmmno kwangu,
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuku wa kisasa wa nyama kwa ukubwa tofauti tipo manzese tunaleta popote ulipo kwa mawasiliano njoo DM tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Gb500 location dsm
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Wakuu, Kuna mtu anahitaji gari - RAV4, AUTOMATIC Transmission, 3 or 5 doors. Rangi yoyote isipokuwa Nyeupe. Hana mpunga wa kutosha kwenda Showroom. Aliye na mpango wa kuuza la kwake anicheck PM
0 Reactions
2 Replies
577 Views
Jipatie dawa yenye kuzuia harufu mbaya mdomoni na kuzuia fizi kutoa damu wakati kuswaki Pia hukinga na kuponya meno kuoza. Nikeitumia na imenisaidia sana ndio maana naileta kwenu. Bei ni sh...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hellow!, Printer ndogo inatafutwa iwe aidha; 1. Ina print tu 2. Ina print and can produce copies 3. Iwe kubwa kiasi, na ya bei nafuu. Iwe portable, sihitaji yale makubwa 4. Iwe INA spidi nzuri ya...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Happy skin; Ziko mbili Happy Skin for Normal skin na Happy Skin for Extra Dry Skin. Happy Skin for Normal skin (ya blue); - imetengenezwa kwa kutumia maziwa na mafuta ya sesame. - huipa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mashine ipo katika hali nzuri kabisa . ina tatizo moja la kiufundi nalo ni haitoi sauti tatizo hili limeanza hivi karibuni mafundi mtakua mnajua sababu yaweza kua nini . yaweza kua drivers or...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Naomba kufahamu kama hapa kwetu Tanzania kuna supplier wa mashine ambazo zinatoa chumvi kwenye maji. Mashine iweze kutumia solar. Maji ya kisima cha ardhini.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vyumba viwili ya kulala, sebule, jiko, tiled, choo cha ndani na nje, fenced, nafasi ya kupaki magari ndani ya fence, laki tatu na nusu kwa mwezi Contact: 0767686874 0653233987
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei Mil 9 mawasiliano 0717760515
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Ya mwaka 2005 Cc 2360 Bei 22mil mawasiliano 0717760515
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Sold
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Make : Toyota Model : Mark X (GRX-120) Mileage : 92,719km Engine size: 2,500cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Natafuta simu Samsung galaxy s5 used Isiwe na shida yoyote Iwe na uwezo wa kutunza Betri Isiwe na mipasuko kwenye kioo Budget ni Tsh laki mbili, sina zaidi ya hapo Aliye nayo anaweza kuniPM
0 Reactions
93 Replies
10K Views
habari natafuta screen ya teno L5, nipo dar njoo PM nitajie na bei
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Back
Top Bottom