Je umesikia kuhusu adspesa, ni kwa wote wenye blog au website mwaweza pata adse zakuweka kwenye blogs zenu kupitia adspesa. Tembelea website ya adspesa upate matangazo uanze kutengeneza hela...
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba 4 vya kulala (1master bedroom), Sitting & dining room, jiko la kisasa, store, choo cha public, tiled, gypsum, paving block, kisima cha maji, fensi na parking ya...
*HABARI NJEMA*
CRM FINANCIAL SERVICES, ni kampuni inayojishughulisha na miradi ya *Mifugo, Ufugaji na kilimo* iliyopo mbezi beach tangi bovu jilani na jengo la mbezi Park, tunatoa huduma...
Ndugu zangu haya mafuta original wanauza 75,000/kama unajua mahali pengine kwa bei nzuri naomba niambie,Mazuri saana ,sasa yana karibia kuisha na muhusika simpati Kabisa hewani,ni mazuri mmmno kwangu,
Wakuu,
Kuna mtu anahitaji gari - RAV4, AUTOMATIC Transmission, 3 or 5 doors. Rangi yoyote isipokuwa Nyeupe. Hana mpunga wa kutosha kwenda Showroom.
Aliye na mpango wa kuuza la kwake anicheck PM
Jipatie dawa yenye kuzuia harufu mbaya mdomoni na kuzuia fizi kutoa damu wakati kuswaki
Pia hukinga na kuponya meno kuoza.
Nikeitumia na imenisaidia sana ndio maana naileta kwenu.
Bei ni sh...
Hellow!,
Printer ndogo inatafutwa iwe aidha;
1. Ina print tu
2. Ina print and can produce copies
3. Iwe kubwa kiasi, na ya bei nafuu. Iwe portable, sihitaji yale makubwa
4. Iwe INA spidi nzuri ya...
Happy skin;
Ziko mbili Happy Skin for Normal skin na Happy Skin for Extra Dry Skin.
Happy Skin for Normal skin (ya blue);
- imetengenezwa kwa kutumia maziwa na mafuta ya sesame.
- huipa...
Mashine ipo katika hali nzuri kabisa . ina tatizo moja la kiufundi nalo ni haitoi sauti tatizo hili limeanza hivi karibuni mafundi mtakua mnajua sababu yaweza kua nini . yaweza kua drivers or...
Habari
Naomba kufahamu kama hapa kwetu Tanzania kuna supplier wa mashine ambazo zinatoa chumvi kwenye maji. Mashine iweze kutumia solar. Maji ya kisima cha ardhini.
Vyumba viwili ya kulala, sebule, jiko, tiled, choo cha ndani na nje, fenced, nafasi ya kupaki magari ndani ya fence, laki tatu na nusu kwa mwezi
Contact:
0767686874
0653233987
Make : Toyota
Model : Mark X (GRX-120)
Mileage : 92,719km
Engine size: 2,500cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2005
Doors : 4...
Natafuta simu
Samsung galaxy s5 used
Isiwe na shida yoyote
Iwe na uwezo wa kutunza Betri
Isiwe na mipasuko kwenye kioo
Budget ni Tsh laki mbili, sina zaidi ya hapo
Aliye nayo anaweza kuniPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.