Habari wanajamvi.
Naomba kufahamu kuhusu soko la ng'ombe vingunguti, nahitaji niende nikafahamu machache kuhusu biashara hii ya ng'ombe.Naomba kufahamishwa:
1)Je mnada wa ng'ombe una siku maalumu...
Eneo lenye ukubwa wa heka 8 lilio pewa kibari na wizara hisika linauzwa na limepewa kibari na serikali na lina nyaraka zote muhimu
-Lipo kijiji cha kwankonje
-kitongoji chaperu
-wilaya ya bagamoyo...
Je, unatatizo la ngozi ya unyayo kupasuka pasuka ( magaga, sagamba nk) au ngozi ya unyayo kuwa ngumu na unahitaji iwe laini?
Suluhisho ni bidhaa kutoka Oriflame, ukiipata matokeo yake...
Wadau nimesikia na kuona ving'amuzi vya namna hii ambavyo kwa habari ninazozisikia ni kwamba ni king'amuzi cha nchi jirani kama Kongo, rwanda, burundi na kwingineko ila kuna baadhi yapa bongo...
Wakuu salaam na poleni na majukumu ya kujenga Taifa letu.
Kampuni ya Jajojo tunanunu mahindi kwa wingi, Kama wewe ni muuzaji tuwasiliane na vilevile tunauza unga wa sembe na dona safi sana...
Kwa wale wote wanaotafuta mwalimu gwiji na mbobezi wa kufundisha na mbinu za kifauhulu mitihani niko hapa.
Nafanya kazi za mtu binafs lakini pia nina education centre.(HIGH VISION EDUCATION...
Habari zenu wakuu
Nauza vifaa tajwa hapo juu
Hp adapter imetumika mwezi mmoja tu bei ni sh 20000/=
DVD rom yaani mlango wa computer pia upo vizuri unaweza kuutumia kuban cd mbalimbali bei ni sh...
Kipo Madale Flamingo barabara inayokwenda Kwetu Sekondari, ni eneo lililopimwa kwa makazi ya watu. Hakijakatiwa hati bado, Kina ukubwa wa hatua 25x30. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.