Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari natafuta screen ya teno L5, nipo dar njoo PM nitajie na bei
0 Reactions
0 Replies
669 Views
kisipungue 20*20, kiwe kina hati kwa anaeuza
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Natafuta simu hiyo rangi yoyote iwe kwenye hali nzuri na vitu vyake vyote Budget 750,000 Nicheki 0683 60 60 60
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi. Naomba kufahamu kuhusu soko la ng'ombe vingunguti, nahitaji niende nikafahamu machache kuhusu biashara hii ya ng'ombe.Naomba kufahamishwa: 1)Je mnada wa ng'ombe una siku maalumu...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Gari Inauzwa MODEL:Noah MWAKA:2004 KM:144755 SPEED:180 BEI:milion 10 """"""'"""""""""'''''''' MAHALI:Dar es Salaam Kigamboni CONTACT:+255 718295182 """""""""""""""""""""""" Tunapokea na kutangaza...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Eneo lenye ukubwa wa heka 8 lilio pewa kibari na wizara hisika linauzwa na limepewa kibari na serikali na lina nyaraka zote muhimu -Lipo kijiji cha kwankonje -kitongoji chaperu -wilaya ya bagamoyo...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Je, unatatizo la ngozi ya unyayo kupasuka pasuka ( magaga, sagamba nk) au ngozi ya unyayo kuwa ngumu na unahitaji iwe laini? Suluhisho ni bidhaa kutoka Oriflame, ukiipata matokeo yake...
0 Reactions
9 Replies
12K Views
Natafuta room maeneo ya tazara iwe ndani ya geti na isiwe na wapangaji wengi .Gharama isizid 70000
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Duka la watanzania ndani na nje ya nchi kwa jumla na rejareja shilingishop.com, shilingishop.com carmarket.shilingishop.com carmarket.shilingishop.com
0 Reactions
1 Replies
704 Views
Kipo saranga temboni mtr 20*20 kipo karibu na barabara za mtaa nguzo ya umeme ipo. Bei 4500000
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Mwenye gari aina ya vits nzuri aniuzie, nina budget ya 5,000,000/=. Piga namba 0714374155 au 0753199179.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau nimesikia na kuona ving'amuzi vya namna hii ambavyo kwa habari ninazozisikia ni kwamba ni king'amuzi cha nchi jirani kama Kongo, rwanda, burundi na kwingineko ila kuna baadhi yapa bongo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unayo iliyotumika kidogo isiyo na tatizo lolote fully desk top computer inahitajika ASAP
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza iPad 2 hii...tsh. 350,000 napatikana mikocheni, Dar... Specs: 12gb memory, uses sim card Whatsapp: 0624132227
0 Reactions
5 Replies
879 Views
Wakuu salaam na poleni na majukumu ya kujenga Taifa letu. Kampuni ya Jajojo tunanunu mahindi kwa wingi, Kama wewe ni muuzaji tuwasiliane na vilevile tunauza unga wa sembe na dona safi sana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa wale wote wanaotafuta mwalimu gwiji na mbobezi wa kufundisha na mbinu za kifauhulu mitihani niko hapa. Nafanya kazi za mtu binafs lakini pia nina education centre.(HIGH VISION EDUCATION...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Nauza vifaa tajwa hapo juu Hp adapter imetumika mwezi mmoja tu bei ni sh 20000/= DVD rom yaani mlango wa computer pia upo vizuri unaweza kuutumia kuban cd mbalimbali bei ni sh...
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Kipo Madale Flamingo barabara inayokwenda Kwetu Sekondari, ni eneo lililopimwa kwa makazi ya watu. Hakijakatiwa hati bado, Kina ukubwa wa hatua 25x30. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme...
0 Reactions
4 Replies
708 Views
Habari zenu wadau, Naomba kujulishwa soko la bata maji kwa hapa dar wapi naweza kuwauza.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom