Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi nimeamua kufuga kuku lakini changamoto ni soko Niko dar esalaam kwa mwenyej pleas anipe mwanga
0 Reactions
6 Replies
7K Views
[emoji654] Tabata kisukulu sqm 1500 kina hati ya serikalini bei 16m fixed price [emoji654] Keko madawa kina sqm 900 kina leseni ya makazi. Ni sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa vyumba vya kupanga...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii ninabiashara yangu ya asali mbichi kutoka tabora kwa anae hitaji Huduma inapitikana muda wote ukihitaji..mauzo nikuanzia litre 1 nahata kiujumla kama ukihitajii.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Make : Toyota Model : Harrier (MCU30W) Mileage : 136,440km Engine size: 3,000cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD (FOUR WHEELS...
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Karibu tukupatie huduma zootee za Solar pamoja na Backup za umeme. Pia tunauza vifaa vyoote vya solar pamoja na Bidhaa zote za ndani kama TV, FRIDGE, HOME THEATRE, RICE COOKER, PLATES ZA MAJIKO...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina laki nne na nusu je!! Naweza pata pc yenye vigezo vifuatavyo au nikale mandazi pesa yangu. Aina: lenovo Hdd: 500 Ram : 2GB
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji laptop mpya au iliyotumika kidogo sana.. Vigezo vya laptop ni hivi 1. Iwe H.P au Dell 2. Iwe na RAM at least 4GB. 3. Processor iwe i5 au i3.. but i5 itapewa kipaumbele zaidi.. 4. HDD iwe...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Samsung s6 Edge Plus Tsh 900000/= Samsung s6 Edge Tsh 800000/= Iphone 6plus 64gb Tsh 1050000/= Kwa mawasiliano zaidi simu no 0652971495
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Toyota Ist Well maintained 2006 model Mileage 52000km No accident/repaint Location - Dar es salaam Tsh 10.4milion Call/WhatsApp 0714 521128
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu ninahitaji kujuzwa kwa undani ni jinsi gani naweza kupata vifaa vya solar kwa matumizi ya nyumbani Pia napenda kufahamu ni namna gani vinafanya kazi (sina uelewa juu ya nishati hii). Na pia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Make : Toyota Model : Starlet Glanza Mileage : 143,910km Engine size: 1,300cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Manual Drive : 2WD (TWO WHEELS DRIVE)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Ninataka kufungua stationery ambapo pia nitakuwa natoa huduma za IT karibu na chuo chochote hapa Dar es Salaam, naomba msaada wenu kwa yeyote anaejua ni sehemu gani na chuo...
1 Reactions
0 Replies
916 Views
Wanajamvi nataka chumba kimoja au chumba na sebule mtwara mjini kama nje ya hapa,kisizidi km 5 toka town. Namba zangu 0765505756
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza piki piki aina ya honda click-nauza shilingi 2,000,000 ipo kwenye hali nzuri kwa mawasiliano zaidi piga 0714 114453 nipo dar-temeke-kijichi
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Chumba na sitting Room.vipo mbez Luis vipo ndan ya get na parking ya gari ipo sh 100,000 kwa mwenzi .for infor contact 0713 95 92 90
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Napatikana Mwanza.. Ina Ram 2GB.. Processor 1.8Gb Operating system ni windows7 64bits Bei ni Laki 3 na 90 elfu... Ipo katika hali nzuri, imekosa adaptor tu, nakupatia moderm inayotumia line zote...
0 Reactions
0 Replies
542 Views
Haidaiwi chochote, wala haina ubovu ni kuwasha na kuondondoka Gari ipo tanga 0653551607
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
1 Reactions
4 Replies
929 Views
Simu ya kibosi kabisa bei ya kutupa 140,000....na chaji yake.........Locationa Dar es salaam,Urafiki.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Natafuta chumba kimoja kikubwa selfcontaned kwa sh 100,000/= maeneo ya Magomeni, Ubungo na Kinondoni kiwe karibu na mwendokasi. Mtu yeyote ani PM
0 Reactions
1 Replies
712 Views
Back
Top Bottom