Nahitaji laptop mpya au iliyotumika kidogo sana..
Vigezo vya laptop ni hivi
1. Iwe H.P au Dell
2. Iwe na RAM at least 4GB.
3. Processor iwe i5 au i3.. but i5 itapewa kipaumbele zaidi..
4. HDD iwe...
Wakuu ninahitaji kujuzwa kwa undani ni jinsi gani naweza kupata vifaa vya solar kwa matumizi ya nyumbani
Pia napenda kufahamu ni namna gani vinafanya kazi (sina uelewa juu ya nishati hii).
Na pia...
Make : Toyota
Model : Starlet Glanza
Mileage : 143,910km
Engine size: 1,300cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
Drive : 2WD (TWO WHEELS DRIVE)...
Habari zenu wana JF,
Ninataka kufungua stationery ambapo pia nitakuwa natoa huduma za IT karibu na chuo chochote hapa Dar es Salaam, naomba msaada wenu kwa yeyote anaejua ni sehemu gani na chuo...
Napatikana Mwanza..
Ina Ram 2GB..
Processor 1.8Gb
Operating system ni windows7 64bits
Bei ni Laki 3 na 90 elfu...
Ipo katika hali nzuri, imekosa adaptor tu, nakupatia moderm inayotumia line zote...
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
kiwanja
~Kiwanja kinauzwa Maeneo ya Kimara Mwisho(Matosa) kina Mita 15(upana) Mita 30 (Urefu) Bei ni Shs Million 10 Umeme,Maji na mahitaji mengine yapo....
Maongezi ya Bei yapo
Mawasiliano 0713...
Mandhari tulivu na sehemu ya kutengenezea historia ya maisha yako,ukumbi unachukua hadi watu 500, Karibu sana tunapatikana Bahari Beach, kwa Tshs 1,500,000/=
Follow kwa ofa na matangazo yetu...
Ninauza nyumba ipo keko mwanga MSD..haijaisha vizuri ila ina wapangaji wawili..kama ikimaliziwa itakuwa na vyumba 6 na frames 2..ni eneo la makazi ina leseni kabisa..nina shida ya dharura...
Nahitaji mawe trip zaidi ya 50 Dar siku ya leo, kesho na Jumamosi.
Kama unazo njoo inbox.
Kupakia na mawe yenyewe yasizidi laki moja gari ni kubwa mwisho wa mawasiliano saa tano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.