Kwa mahitaji ya Nyumba na mashamba Dodoma tafadhali wasiliana nasi.
Tuna Viwanja vya matumizi yote.
Viwanja vya makazi
Viwanja vya makazi na biashara
Viwanja vya Taasisi
Viwanja vya viwanda...
Umuhimu wa chai mwilini mwetu,Pata dondoo za afya hapa hapa ili ujue kwanini unatakiwa utumie chakula fulani kwa wakati flani leo ni.
Sababu kuu 3 kwanini unywe chai asubuhi.USIIRUKE tafadhali,Na...
North For Men, bidhaa kwa ajili ya Wanaume.
Katika set hii kuna;
- shaving Foam
- Original Soap Bar
- Del Roll - In - On 48 Hrs
- Del Spray 48 Hrs
- Hair and Body Wash.
SHAVING FOAM;
-...
Wadau habari,
Natafuta dalali wa nyumba au viwanja aliyeko Dodoma mjini. Please naomba unitafute au kama unamfahamu dalali yeyote yule wa Dodoma mwambie anitafute. Nitumie PM nikupe namba...
Habari wadau,
Kwa wale wafanyabiashara wa vifaa vya Simu(mobile accessories) vya aina zote pamoja na simu kwa bei ya Jumla(wholesale/bulk) Karibuni hapa. jumlasupply bidhaa na bei zipo
Mpya kabisa GB 32 imetumika mwezi mmoja ina kila kitu chake no scratch naunza 800,000 kama Title inavyonekana hapo juu mwenye uhitaji anicheki kwa namba 0622 027490
Colour ni nyeusi na ina cover...
Habari wanajukwaa, nyumba ipo ubungo kisiwani jirani na cosmic hotel karibu na barabara ya lami ya kutoka ubungo kuelekea mabibo loyola jirani . Nyumba ipo katika hali nzuri ina vyumba tisa.
Karibuni
Nyumba ina pangishwa
Mahali:kimara stop ova
_______________________
Malipo: laki 3 kwa mwezi (malipo miezi 6)
2 bed rooms kimoja master
Tiles:yes
Gypsum:yes
Parking:yes
Maji na umeme full...
Mwenye kujua zinakopatikana dawa hizi za meno anipe msaada kwani nataka kwa bei ya jumla
Vigordoctor
Super fresh
Sensitive
Dentix
Triple action
Sensodine
Naomba ani pm tafadhari
kama kichwa kinavyojieleza ni mashine ya ku dublicate cd
ina cd port nane na ipo katika hali nzuri
mashine hii itawafaa wamiliki wa studio za kuzambaza movies za nje kupitia ku download
bei...
Mwalimu wa masomo ya ujasiriamali nipo kwa ajiri yenu
Kwa wale tu wanaohitaji mafanikio katika ujasiriamali nipo kwa ajiri ya kukupa ushauri ,kujibu maswali Na Na mahitaji ya VITABU vya...
Habari za majukumu wapendwa
Ninapenda kuwajulisha ninauza viwanja vilivyopimwa eneo la Kibaha-Pangani Block 'U' Plots 182-213 vya ukubwa tofauti.
Bei ni Tshs 5500/sqmtr
Kwa mawasiliano napatikana...
Nauza Samsung flat screen ipo ya 32inch ledtv h4100, ina mwaka mmoja, Bei 500000.
Na ipo Samsung ya 55inch, ledtv j5100, series 5 ina miezi 9. Bei 1.5m nakupa na lisiti yake.
Sallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.