Wakuu habari za pasaka,
Yanahitajika madirisha ya aluminium kama heading inavyosema. Bei isizidi 190,000. Mazungumzo mengine yapo.
Mwenye nayo au hardware inayotengeneza anipm
Pasaka njema
Wadau inahitajika Fuso Mitsubishi mayai namba C au D engine 6D16 au 6D17 njoo nayo pm na bei yako tufanye biashara.
N.B
Isiwe tandam iwe ya kawaida tu body ya aluminium
Natafuta binti wa kazi za nyumbani, majukumu ni kulea mtoto na kufanya kazi za kawaida za nyumbani.
umri kuanzia miaka 18 mpaka 23 lakini hata chini ya huo umri pia nitampokea . Awe tayari kufanya...
Habari waungwana mimi ni kijana mwenzenu nahitaji app ya kibiashara na matangazo hivyo mwenye uwezo ani tafute kwa namba ya simu hii au whatsapp 0715426668
Amani iwe juu yenu wana bodi
Waungwana nimeamua kutangaza kuuza kiwanja changu mkuranga kwa bei poa kwa yeyote anaehitaji awasiliane nami kubwa jinga jr,
Kwa yeyote tutakae wasiliana mapema...
Habari zenu wanabodi..
Karibuni sana kwenye huduma zetu kama zinavyoonekana hapa chini.
HUDUMA ZA KITAALAMU ZA UTAFITI WA MAJI NA UCHIMBAJI WA VISIMA
(PROFESSIONAL GROUNDWATER INVESTIGATIONS AND...
Easter imenijia vibaya hii duuh , nimetenga kahela kangu ka kula , lakini nomekosa kampany kulingana na mazingira niliyopo kuwa mgeni mgeni zaidi asubuhi nimeamka naumwa daaashhh
But nimeshspata...
Nyumba nzuri na ya kisasa ipo Mwanza ina vyumba 3 kimoja master,suttting 2 ,jiko ,dinning pamoja na public toilet.IPO igoma kishiri bei milioni 35 tu.
Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa 0742159555
Helo majasiriamali mwenzangu pole kwa majukumu
Natumaini umesoma heading vizuri natumaini umewahi kuona matangazo kadha wa kadha katika mitandao ya kijamii yakitoa matangazo mbalimbali...
Make : Toyota
Model : Mark x
Mileage : 74,326km
Engine size: 2,500cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : 4WD (FOUR WHEELS DRIVE)...
Habari wana JF.
Naamini huku nitapata msaada kwa haraka kidogo..nina ujenzi unaohitaji I-Beam na angle line zitakazotumia bolt kuunganisha na sio kuchomelea na structure ni kama mnara wa...
Nauza samsung video camera ikiwa bado mpya ina miezi mitatu tu tokea niinunue, ninashida na pesa so nauza kwa bei nafuu kabsa karibu na bure, ina record HD videos na inapiga picha pia, ni portable...
Habari zenu wadau.
Nahitaji remote ya subwoofer kwa anayefahamu wapi naweza pata au kama anayo tufanye biashara.
Remote iliyokuwepo ilikuwa inaongeza sauti,bass na stereo lakini haiwezi...
Shamba lenye ukubwa wa ekali 38 pamoja na miti yake aina ya mpaina yenye umri wa miaka 5 naliuza. Shamba lipo wilayani Mufindi maeneo ya Mudamulo-Mafinga. Ekali moja ni sh. 1,000,000 tu. Unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.