Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari wadau. nauza 32 inch led tv aina ya stax x.. bei ni 350. bado ina hali ya upya na vifaa vyake vyote nilinunua kwa ajili ya kuiweka glossary niliyopanga kuifungua ila nimeamua kubadilisha...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Gari aina ya Hino Inauzwa iko katika hali nzuri na inafanya kazi na haidaiwi kitu chochote. Kwa anayehitaji napatikana katika namba 0744089514 /0675459211. Inauzwa Tsh 20,000,000 /=
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Gari aina ya Rav4, CC 1998, Usajili T 588 CHQ lina hali nzuri kilometa 82,435 Location Kigoma. Open roof na engine haijafunguliwa. Bei 9,500,000 maongezi yanaruhusiwa. Kwa mawasiliano na maelezo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
wadau natafuta mashine ya kukamulia juice ya miwa ntaipataje, na inauzwaje?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hp desktop Yenye specifications; Cpu;Ram 2gb, Processor: 2.20ghz duo processor. HDD; 160B DVDRW. Monitor hp 17" LCD. PRICE 170,000 IPO DAR ES SALAAAM.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Milage zake ni 160000 Ni automatic,inatumia petrol, Engen model yake ni v6020 Mmiliki sahv anaiuza 21mln Gari hii ilingia nchini mwaka jana mwezi wa nane tokea japan....gari iko imepaki tu...gari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kituo Kipo kigamboni Centre Kina Mitungi Mitatu Inayofanya Kazi na Kimeshazoeleka Kwani Kinaendelea kutoa huduma kwa muda mrefu Price:Milion 7 per month Mkataba Rasmi ni miaka mitatu Mkataba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Heshima kwenu wadau.. Kuna appartment zinapangishwa vituka, nyuma ya airport karibu na Kwa jimmy au Ikizu Motel.. Nyumba ni nzuri kwa bachelor maana ni Chumba master na sebule yake + jiko Zipo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar watu wa JF. Napenda kuwatangazia kwamba natengeneza Crips za ndizi,mihogo na viazi,tambi za dengu (za pilipili na zisizo na pilipili), chaulo na karanga za mayai. Bidhaa hizi nauza kwa bei...
4 Reactions
5 Replies
8K Views
Habr wapendwa......naitwa Olly....leo npo hapa kuwaomba mumuunge mkono rafk wangu wa karb....anaitwa Tuli mwakatobe....yeye n mjacriamali wa kujitegemea.....na hapa anawaomba wapendwa kumuunga...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Viwanja vinauzwa bei nzuri kabisa.Vinafaa kwa makazi na kuna umeme na maji karibu.Viwanja vipo Mkoa wa kilimanjaro: Boma Ng'ombe na KIA Mkoa wa Arusha KIKATITI,na King'ori Mkoa wa Dar es Salaam...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Imetumika na bado iko Kwenye hali Nzuri.Bei 170000.Sina utaalamu wa kupandisha picha hapa.Niko Arusha.Interested call 0789678900
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Msaada jamani mwemye kujua garden nzuri na bei poa kwa shughuli za harusi ndani ya DSM
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Inauzwa Bei ni 165,, mwenye uhitaji anicheck Pm
0 Reactions
2 Replies
629 Views
Habari.....nipo Dar natarajia kwenda Mwanza kwa ajili ya Field kwa muda wa miezi miwili sina ndugu sina Jamaa wala Rafiki Mwanza nahitaji chumba ambacho nkitakuwa na kila kitu kwa bei nafuu....Cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji Samsung note 3 kwa ofa ya 200,000/= iwe used in a good condition.. au iwe mpya.. Picha nitumie whatsaap +255622309790
0 Reactions
5 Replies
862 Views
Shamba lenye ukubwa wa Hekta 10 linauzwa, lipo Dar es salaam,Wilaya ya Ilala,Kata ya Msongola ,Eneo LA Mvuti ,lipo KM 2 kutoka Barabara ya Chanika Mbagala,lipo kando ya baraba ya Mvuti Dondwe...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Imberuzi Investment inawatangazia wakazi wa Dar es salaam na watanzania wote kutoa mafunzo ya kutengeneza mashine inayotumia mafuta ya taa kutotolesha vifaranga vya kuku.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nakodisha gari kwa day trips na dreva ni mimi mwenyewe. Napatikana dar es salaam. Mawasiliano 0715720757 Gari ni nyeupe, 4 doors na imefanyiwa service aina ya station wagon. Picha ziko hapo...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom