Nauza net za kisasa, zenye muonekano amazing, pana na ndefu, high quality, unaweza kufunga kwa stayle tofauti tofauti, ziko aina tofauti tofauti, zimebaki chache, bei ni Tshs. 55,000 tu. Karibuni...
Moja kati ya vitu ambavyo vinzaweza vikakushanganza utakapotembelea mji wa Dar es salaam ni hii ya kutoa pesa iliununue pesa, Mfanyabiashara Eli amesema Dar es salaam apatupwi hata pesa mbovu...
Je uko china ama tanzania na unataka kusafirisha mizigo yako kibiashara javis tupo kwa ajili yako tuna safirisha mizigo ya wateja wetu toka china na tuna fanya manunuzi ya bidhaa pia fika ofisin...
Kwa anayehitaji huduma ya kupimiwa kiwanja, kununua kiwanja kilichopimwa ( Fukayosi bagamoyo na Kerege Bagamoyo plus Kimbiji Kigamboni), huduma ya kufanyiwa renovation au kujenga nyumba,frem nk...
Kama kichwa kinavojieleza nipo ubungo morden nnaihitaji simu aina yoyote iwe na hali nzuri coz kwa simu huaga sidanganywi so jishaurishe kwanza. Inahitajika kwa uharaka; nnnaofa pesa taslim...
Hope mpo ok wadau:Mdogo wangu anatarajia kuja kuripoti kazini hivi punde Jijini Dodoma,Naomba uzoefu wa Gharama za Chumba/vyumba na maeneo poa kwa kuanzia Maisha.
Wadau nimetingwa sana . Nataka niuze simu (ni yangu mwenyewe) sumsung galaxy grand prime+ ni mpya bado ina miezi miwili tangu itoke dukani. Shida yangu nipate 250,000 tu.
Samahanini , ni Samsung...
Inapatikana kilomita 5 kusini mwa makao makuu ya wilaya ya babati.Ni nyumba yenye vyumba 6 na nyumba ya kisasa. Izungukwa na eneo la hekari moja lenye bustani nzuri ya miti. Kwa maelezo zaidi piga...
Ramani yangu ni m14 urefu na 13 upana. Nataka nijenge gorofa moja. Chini na juu kunafanana. Mpaka nikiezeka nitatumia sh ngapi? Fundi kasema isipungue 60mil. Je ni kweli? Kwa mwenye uzoefu tafadhali
SNL SOLAR inakupatia Solar ya kukuwashia taa tano hadi nane pamoja na kuchaji cm pia unaweza kutumia Radio ndogo.
Tuna Solar ndogo na Kubwa kwa gharama nafuu zaidi na Technolojia yetu ni ya...
Habari za uzima wadau, Mimi ni kijana mhangaikaji tu, shughuli za hapa na pale sina kaz rasmi, nahitaji niingie katka sekta ya uuzaji na usambazaji wa mayai ya kienyeji ila kinachoniaumbua ni...
Kiwanja chenye ukubwa wa hatua 25 marefu,na hatua 20 mapana kinauzwa kwa Tsh.500,000/= (laki tano) tu.
kipo mkoa wa morogoro wilaya ya kilosa kata ya magole mji mdogo wa dumira barabara...
Wapendwa,
Nimekwama mahala kwa mwenye kuelewa, nina gari yangu natumia kama kukodisha iwe ni mtu binafsi, office kwa safari yoyote ile ila nilitaka nijiunge hawa Uber kutangaza biashara yangu...
SNL SOLAR inakupatia Solar ya kukuwashia taa tano hadi nane pamoja na kuchaji cm pia unaweza kutumia Radio ndogo.
Tuna Solar ndogo na Kubwa kwa gharama nafuu zaidi na Technolojia yetu ni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.