Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

jaman natafta room ya kupanga single self kubwa ya bei nafuu moshi mjini
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Inauzwa 1M nicheck kupitia 0713118737
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa Chanika ukubwa futi 45 kwa 42 bei milioni moja na laki tano pia mashamba yapo bei kuanzia milioni kumi vilevile kuna nyumba zinauzwa kuna ya milioni kumi na sita,milioni kumi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kuna boss anahitaji sheli ya kukodisha. mwenye nayo au ana connection anichek kwa no hii 0787776173. pamoja sana. yote maisha.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu, Ninatafuta mtaalamu anayeweza kutengeneza / renovate nyumba moja Dar es salaam na nyingine Mwanza. Nyumba ya Dar es salaam ni ya vyumba viene ipo mikocheni na nataka itengelezwe kwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nyumba hii ni ya nyumba 4 viwili master bed rooms na viwili vya kawaida. ina choo cha public, sebule, jiko na store. pia iko kwenye kiwanja kikubwa kama mnavojua viwanja vya mwanagati sio...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF, kwa yeyote anayeuza line za uwakala tigo pesa na Mpesa, Napatikana Mlandizi Kibaha tuwasiliane kwa 0757995789 au 0652765670 Asanteni!!
1 Reactions
2 Replies
775 Views
MBWASA GENERAL MACHINES COMPANY TUNATENGENEZA NA KUUZA KWA BEI POA MASHINE NZURI SANA ZA KUTENGENEZA SABUNI. Wasilina na sisi 0714-799 305
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Hivi ni virutubisho vilivyochambuliwa kutoka kwenye vyakula vinavyoongeza mwili, pia zipo za kupunguza mafuta mwilini
0 Reactions
1 Replies
636 Views
Wakuu Nina ka 2m natafuta mtu ambaye anafanya biashara yenye tija inayorudisha faida ndani ya kipindi kifupi
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Specification Touch screen 1TB HDD still New i5 7th Generation 15.6" Full HD Display Multi Mode Hinge Processor 3.1 ghz intel i5, window 10 Home (64 bit) English Intel HD Graphics 620 8GB...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu hbr za mida, naomba kujuzwa wanapouza spray hizi kwa bei ya jumla,maana nilichukua Zanzibar kwa sh 4000@spray na sh 7000@lotion kwa jumla. Sasa sijajua kwa huku Dar wapi naweza kupata kwa...
1 Reactions
3 Replies
7K Views
Kontena liko arusha kwa moromboo linatakiwa kupelekwa kibaha kongowe. Kontena ni tupu halina kitu chochote ndani hv unaweza ukalipakia na bado ukapakia mizigo mingine. Gari inatakiwa iwe na crane...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe ni muuzaji wa simu na upo DSM, nahitaji simu tajwa. Weka bei na unapatikana wapi. NB:Sihitaji iliyotumika.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
bei 130,000 call 0659999733 now.....Dar es salaam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Sandals za kisasa na zinazotamba kwenye soko la sasa hapa bongo Kwa bei poa kabisa niagize sasa nikuletee ulipo na kwa walie wa mkoani natuma kama unataka za jumla nipigie simu 0623992405...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nitafyta kiwanja /shamba maeneo ya kigamboni au bagamoyo bajeti yangu ni tsh 5 million
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Back
Top Bottom