Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau, Kwa yeyote mwenye uhitaji wa magari hayo hapo chini au any new car njoo uni private message nkusaidie. Bei zote zina maongezi 2004 Toyota Raum Low mileage (65,000km) Jst registered...
0 Reactions
19 Replies
19K Views
[emoji12]
0 Reactions
1 Replies
988 Views
Infinity works tunatengeneza madirisha, milango na partitions za aluminium kwa ubora kabisa. Ofisi zetu ziko tegeta njia ya wazo au piga simu namba 0657160252
0 Reactions
2 Replies
9K Views
JIPATIE BIDHAA ZIFUATAZO KWA BEI RAHISI KABISA KUTOKA ZANZIBAR. 1. TV Flat Inch 32 Aina Star X zenye King'amuzi bei 350,000 Zipo Inch 40,50 na 55 2. Passi Philips bei 32,000/= 3. Rice Coker...
2 Reactions
17 Replies
9K Views
Mi Nimezalisha Kokoto Nyingi Sana, Kwa Anaye hitaji tuwasiliane 0625844563 nipo Njombe, Zinaweza Kusafirishwa,
0 Reactions
3 Replies
788 Views
_Isiwe na matatzo _Iwe ndani ya dar _Iwe na document zake zote _Aina yoyote ile Mwenye nayo ancheki kama nikiipenda nanunua
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wakuu. Kama kuna mtu anamiliki Apartment. 2/3 Bedrooms.Inayouzwa Maeneo,Upanga,Masaki,Mikocheni,City Centre,Kariakoo maeneo Salama. Njoo Pm Offer
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Pata dagaa wa kukaangwa wa mwanza wa viungo na wasio na viungo Tupo mwanza mikoani tunatuma Maelezo 0759292980
1 Reactions
20 Replies
6K Views
SOMA NA SAIDIA KU-SHARE
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Ukiwa na order yako tupigie au tuma sms tutakupigia.kwa pesa kidogo tutakufanyia kazi yako karibuni.0685376231
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Karibuni printer aina ya HP color. Tupo arusha. Bei ni 550000. Serious buyers call 0755661541. Imetumika 3months
0 Reactions
0 Replies
772 Views
kitanda kinauzwa sh..210,000/= .mti MNINGA ORIGINAL,,, NIPO TEMEKE 0659234265
0 Reactions
4 Replies
897 Views
9 Rooms (2 master rooms) Sitting room 4 toilets Garden Parking Price: 2000$ per Month Direction:Kigamboni ferry 800m from Panton station...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeitumia mwezi nahitaji kubwa zaidi
0 Reactions
3 Replies
698 Views
Nna Pesa taslim laki 3
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba hii kwa *** Tshs. 32.20 Millions tuuu! *** Ndani siku 50 kwa Makubaliano +255 657 685 268 - "Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!" Specifications: *...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau nina simu yangu aina ya SAMSUNG MEGA PLUS kubwa, Nyeusi nimeitumia miezi 6 tu tangu itoke kweny box lake, Sasa Nimepata shida kidogo y kuhitajika kuitatua kwa haraka na hapa sina kitu...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam Wana JF Wakuu nahitaji kupata soko au mtu ambaye ananunua simbi kwa wingi sehemu yoyote ile nitampelekea. Simbi ni miongoni mwa bidhaa za baharini ambazo hutumika kutengenezea vyombo vya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Natafuta kazi ya udereva leseni yng ni A. B. C. C1. C2. C3. D. E. F. G nipo dar es salaam Tanzania ajira ni ngumu wakuu naitaji mtu wa kunisaidia nipate kazi Hata kumuendesha mtu fresh tu
0 Reactions
1 Replies
574 Views
Habar za jion wana jf,nauza duka la dawa km kuna mtu anataka kununua anicheck 0767874060,lipo singida mjini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom