Shamba hekta 10 linauzwa Dsm

Shamba hekta 10 linauzwa Dsm

BulamboTz

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
120
Reaction score
134
Shamba lenye ukubwa wa Hekta 10 linauzwa, lipo Dar es salaam,Wilaya ya Ilala,Kata ya Msongola ,Eneo LA Mvuti ,lipo KM 2 kutoka Barabara ya Chanika Mbagala,lipo kando ya baraba ya Mvuti Dondwe, lipo Karibu na Mvuti Sekondari na Gereza la Dondwe,lipo karibu na Nguzo za umeme,halina zao lolote la kudumu,BEI= MILIONI 50,Atakayefanikisha kupatikana MNUNUZI atapewa MILIONI 10.Wasiliana nasi kwa Simu 0655 562 854+0769 784 640
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom