Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
ningependa kuwapongeza wabunge wa CHADEMA kwa uzalendo walioonyesha katika kutetea haki na usawa katika nchi hii . najua kutakuwa na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa but keep on doing right...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eid Mubarak wanajamii!Mimi ni mgeni katika jukwaa lenu hili,ila nimelifatilia kwa muda mrefu sana kwa kusoma fikra zenu,dira na maoni mbalimbali hivyo nami nijiunge ili nami nitoe yaliyomo katika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hi
Better die standing than live on your knees
0 Reactions
0 Replies
956 Views
hello greatthinkers! can i come in!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Please anyone to guide me before i loose my path.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Najiona kama ni mtu niliyekumbuka shuka wakati ni asb.kumekucha. Ni Mr TANO ATHANAS NCHASI. Kutoka Dodoma St. JOHN'S UNIVERSITY. Nawaomba wanaharakati tujuane jamani ili na mimi niwe active...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni tumaini langu kuwa mko vizuri ndugu zangu wana jf, mimi ni mgeni katika ukumbi huu na hivi leo ninaomba baraka zenu wazee na watangulizi wangu ili tushiriki kwa pamoja katika kudadavua na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajameni mi ndo napiga hodi naombeni mnifungulie, nikaribisheni, sebuleni,nipeni maji ya baridi coz kuna mambo kibao, nahitaji kushare nanyi. asanteni.
0 Reactions
1 Replies
897 Views
HELLO GREAT THINKERS, CAN I PLEASE COME IN?:target::target::target::target:
0 Reactions
4 Replies
895 Views
Hi!
at last i am on board! i expect to share and enjoy a lot in areas of local politics, education financial matters in particular, law and much more. asante!
0 Reactions
4 Replies
889 Views
Nimefurahi kujiunga na familia hii japo nimechelewa,kwa mda mfupi niliokuwa member nimegundua kuwa this is the right place.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mnipokee jamvini.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahanini wana jamii, nimepost bila kuji introduce, mimi naitwa Mr. Pascal ni mtaalam wa masuala ya TECHNOHAMA. Nimekula kwanza ndio nanawa mikono ili niendelee kula, samahanini sana.
0 Reactions
1 Replies
734 Views
Paaaaaaaap hadi kwa Wapendwa JF, allow me to be with u but not with JK, nilikuwa na wamasai nikiwa safarini Loliondo, nikawauliza vp uchaguzi mtampa nani kura bila kuchelewa wakatema mate chini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JF nabisha hodi kwenu. Asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hodi hodi wana JF ma'great thinkers' a.k.a wana CHADEMA kama wengi mnavyopenda kujiita. Nikaribisheni ili nipate muongozo wa mambo ya kijamii na changamoto zake. Nategemea sana mchango wenu wadau...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamii Nimependa sana mijadala na uwanja huu wa jamii forum... hodi hodi waungwana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau kwanza naomba kujitambusha kwenu kwani mimi ni member mpya. Pili nachukua fursa hii kuwapongez wote mliotumia muda na akili zenu kUfuatilia na kuchangia kwa maono ya fikra chanya kuhusu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naishukuru jamii forum na wanajamii wote kwa mchango wao wa mawazo na kupashana habari kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya nchi yetu .
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naitwa Monica ndo najiunga leo na Jamii forums, natumaini mtanipokea vizuri.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom