Kwa muda mrefu nimekuwa mtumiaji wa blog mbalimbali na sikuwahi kuwaza kuwa mwanachama popote. Rafiki yangu mmoja aliponiambia kama nataka mawazo mbadala na yenye tija (kwa kuwa ni anafahamu kuwa...
Hodi wana JF, nimekuja kwenye jamii japo nimechelewa lakini naamini sio sana. JF kweli inajenga na kurekebisha nashangaa kwanini nimechelewa kujiunga na hii jamii. Naomba wana jamii mnipokee ili...
Jamani nimetua sasa hivi kutoka nchi za mbali, nilikuwa sijawahi kutembelea hapa hadi jana nilipoambiwa habari za hapa kwenu!
Nilifurahi sana nilipoelekezwa kwenye mjengo huu wa great thinkers...
Mi. Ni mgeni kujiunga ila nimeathirika zaidi kwa kuisoma JF mara kwa mara mkoo juu mazee hata cjui nlikuwa wapi siku zote na kinachonisukuma zaidi ni hii dhuluma ambayo sijawahi kuwaza kama...
Nafurahi sana kuwa mwanajamii,nimekuwa msomaji wa mada za humu ndani kwa kipindi chote cha uchaguzi na sasa nimeona ni vema nijiunge ili nami nichangie,naomba mnipokee.
Jina langu ni Esta. Nimevutiwa na forum hii kwa kuwa na majadiliano na mijadala ya kila aina. Natumai nitajifunza mengi.
Nina issue inanisumbua sana. Nayo ni kuhusu uchafu uliokithiri katika...
jamani hodi, tena hodi, nipokeeni basi jamani wenye mpoooooooo?? hodi mpaka ndani mbona kimyaaaa he! haya me ndo nakaa kwenye mkeka hvo nasubiri wenyeji.
Nimeona ni vema kuwa sehemu ya Great Thinkers wa Jamii Forums ili kuweza kushirikiana nanyi kupaza sauti zetu kuliko kuendelea kukaa kimya huku mafisadi wakiendelea kuitafuna nchi yetu bila...
heshima kwenu wana jf, hivi humu ndani nikitaka kusema kitu kilicho moyoni, ambacho kina wagusa kina nanihii hakuna ma cia na ma fbi watakao ni track??? Naogopa kuangukiwa na jumba bovu mwenzenu!!!
Hodi kwa wanJF wote tz, mmmm ni matumaini yangu kwamba tutakua pamoja ktk hili jukwaa la JF,maomba ushirikiano wenu na idhini yenu kuutambua uwepo wangu hapa,ahsante
Dear JF members-ladies and gentlemen, I am the newcomer to this forum. I am glad to have this opportunity to introduce myself to you. I am Mr. Pacemaker.
For the past several years that the...
First of all i am apologising on the name of holy name of JF sitarudia tena in using undisqulified language which i used involunterily
Haya wanajamii niliingia hapa JF yapata mwaka sasa bila ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.