Mimi ni mgeni JF!!Naikubali sana JF sababu ya vichwa makini!!Ni zaidi ya great thinkers!!Critical thinkers!!!Wanaangalia mambo kwa namna ya ajabu!!navutiwa sana na hili jamvi sbb sipishani sana na...
Je, Ni CCM Ipi Hasa Iliochakachua Uchaguzi Wetu Mkuu 2010???
Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki...
kwanza asanteni sana kwa kunihabarisha tangu uchaguzi ulipoanza. sikujua upo upande gani. sasa najiunga rasmi na kutamka kuwa nina back up pipooz powaaa
Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki mchakachuaji bado, ambaye mpaka sasa anadaiwa kuwa ni CCM, hatujaweza...
Heshima kwenu wanajf.
Nimeamua niungane nanyi katika jukwaa hili, ili pamoja na kujifunza kutoka kwenu, nami nipate fursa ya kushiriki kikamilifu katika mijadala inayoendeshwa ndani ya jf...
Habari ndugu zangu
NImekuwa ninasoma 'threads' zinazoandikwa na jinsi ambavyo watu wako makini katika kujadili mada muhimu zenye mustakbari wa Tanzania na jamii kwa ujumla. Binafsi nimevutiwa...
Heshima kwenu nyote wana JF "Where we Dare Talk Openly," ni mgeni jamvini kwa maana ya kupost lakini ni mwenyeji kwa maana ya kusoma na kufuatilia mijadala mbalimbali.
Jamvi hili ni muhimu...
Hellow......
Jamani mimi ni MwanaIFM, nimejiunga na kile chuo pale mjini! YES katikati ya mji na naweza kusema chuo kilichopo mjini kuliko vyote na nimevutiwa na majadiliano ya humu jamvini...
Jamani marafiki naomba kujiunga nanyi hapa JF. Naitwa Salehe, nimejisajili hapa JF kama Mr.shs. Ni mwalimu wa sekondari natumai tuna mengi ya kushirikiana! Asanteni
wana JF,leo hii natangaza rasmi mbele yenu kwamba kwa moyo wangu wote nimeamua kurudisha kadi ya jamvi lile la sura ya kitabu najiunga nanyi great thinkers nijifunze mengi kutoka kwenu,nikue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.