Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi ni mgeni JF!!Naikubali sana JF sababu ya vichwa makini!!Ni zaidi ya great thinkers!!Critical thinkers!!!Wanaangalia mambo kwa namna ya ajabu!!navutiwa sana na hili jamvi sbb sipishani sana na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi
Jamani mawaziri we2 mmewakubali
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Hodi hodi wana JF naingia kwenye familia...Great Thinkers Oyeee
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Napenda kuchukua fursa hii kujitambulisha rasmi jamvini. Ni matumaini yangu mtanipokea kwa mioyo mikunjufu.Asanteni sana.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Je, Ni CCM Ipi Hasa Iliochakachua Uchaguzi Wetu Mkuu 2010??? Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hallow every one, Hi great thinkers. Glad to join you brave people.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Thanks for inviting me to Jamii forum
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Habari wana JF! naomba nafasi jamvini na mimi niweze kutoa mchango wangu wa nguvu ya hoja. Nipokeeni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau mupoooo.hongereni kwa kuwa wa kweli kwa maslahi ya taifa hili kwa lengo la kulikomboa kutoka kwenye umaskini
0 Reactions
2 Replies
803 Views
kwanza asanteni sana kwa kunihabarisha tangu uchaguzi ulipoanza. sikujua upo upande gani. sasa najiunga rasmi na kutamka kuwa nina back up pipooz powaaa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi......this is martina.I am twenty two years old girl. I am a student of B.A final. =============================== Injury Claim
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki mchakachuaji bado, ambaye mpaka sasa anadaiwa kuwa ni CCM, hatujaweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanajf. Nimeamua niungane nanyi katika jukwaa hili, ili pamoja na kujifunza kutoka kwenu, nami nipate fursa ya kushiriki kikamilifu katika mijadala inayoendeshwa ndani ya jf...
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Habari ndugu zangu NImekuwa ninasoma 'threads' zinazoandikwa na jinsi ambavyo watu wako makini katika kujadili mada muhimu zenye mustakbari wa Tanzania na jamii kwa ujumla. Binafsi nimevutiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu nyote wana JF "Where we Dare Talk Openly," ni mgeni jamvini kwa maana ya kupost lakini ni mwenyeji kwa maana ya kusoma na kufuatilia mijadala mbalimbali. Jamvi hili ni muhimu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hellow...... Jamani mimi ni MwanaIFM, nimejiunga na kile chuo pale mjini! YES katikati ya mji na naweza kusema chuo kilichopo mjini kuliko vyote na nimevutiwa na majadiliano ya humu jamvini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
helloo everyone,,,,i am in!!!
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Jamani marafiki naomba kujiunga nanyi hapa JF. Naitwa Salehe, nimejisajili hapa JF kama Mr.shs. Ni mwalimu wa sekondari natumai tuna mengi ya kushirikiana! Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo vipi! Nina furaha kupita maelezo :target: Naomba mnikaribishe jamani katika hii timu ya "GREAT THINKERS". THANKS
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wana JF,leo hii natangaza rasmi mbele yenu kwamba kwa moyo wangu wote nimeamua kurudisha kadi ya jamvi lile la sura ya kitabu najiunga nanyi great thinkers nijifunze mengi kutoka kwenu,nikue...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom