Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuingia jamvini bila hodi. Nilijiunga na jamvi baada ya tarehe 31 octoba ya 2010. Kilichonivutia awali ilikua ni kupata matokeo ya uchaguzi. Ila baada ya kuona michango...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wanamjamvi napenda kijitambulisha kwenu kama mpiganaji mpya katika jukwaa hili.napenda pia kushukuruni sana ndugu wazalendo,wataifa,wapigania na wafia maendeleo ya taifa hili kwa kuibua hoja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi guys, am taking this opportunity to alert you that, am a new member to JF, thereof am begging your kindly co-operation. bare on mind that To Love is not to give of your riches to others, but...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mimi naitwa Mathias BYABATO Nimeamua kujiunga rasmi na jukwaa kwa kutumia jina langu kabisa lengo ni kutaka kuaminiwa kwa yale nitaklayokuwa nikitoa bila kificho. punde avantor yangu itakuwa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hodi great thinkers! Good work!
0 Reactions
2 Replies
871 Views
Zanzibar Yateuwa Makatibu Wakuu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Watendaji Wakuu katika Ofisi na Wizara za Serikali ya Mapinduzi...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Please accept me!!!! regards. tabutupu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwanza nawapongeza sana member me japo mgeni jamani nihabarisheni kuhusu JERRY MURO kesi imefikia wapi?si mnajua wa home? nisaidieni kwa hilo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi sijui niwape Shikamooo kama wanauchakachuaji CCM waombapo kura au niwape CDM Oyeeeeeeeeeeee kama vile Mkuu wetu wa Nchi moyoni mwenu asalimiapo wananchi wake......anyway nabisha hodi kwa...
0 Reactions
4 Replies
834 Views
Hodi wandugu humu ndani! Niliingia JF miaka mitatu iliyopita, bahati mbaya sikuwa active kidogo; japo nimekuwa nikisoma baadhi ya posts nikipata nafasi pasipo kutoa comments. Maana si kila kitu...
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Habari wana jamii. Ni matumaini yangu nitakaribishwa katika hii Forum ya Great thinkers, naomba kukaribishwa ili angalao na mimi niweze changia agalau machache yale nielewaya. asanteni sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wenye nyumba nabisha hodi rasmi leo baada ya kuwa guest kwa long time now. Naombeni mnipokee na kama chakula kipo mnipe nile....asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mambo vp jaman wanajamii?me mgen wenu nafurah kujiunga pamoja nanyi ktk jamii forum!
0 Reactions
2 Replies
878 Views
Nawasalimu katika JINA lipitalo majina yote!! Kwa heshima na taadhima... nasema Inshallah tuwe pamoja katika kuendesha gurudumu hili la JF.
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Salaam wazalendo wenzangu, nilikuwa nawachungulia tokea zamani leo nimeamua rasmi kuingia ndani najua kwa utamaduni wa kitanzania mtanikaribisha ukizingatia nimechagua siku ya baraza jipya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kikamavu naingia, salam wafamilia, mengi ninayo semea, ya chombo hiki murua, Nyingi pongezi pokea, Kwa yote mliyofikia, sasa mefika wasaa, naomba yenu ridhaa
0 Reactions
12 Replies
2K Views
:target:Watanzania tuwacheni kasumba wakujifanya sisi ni wakamilifu tuache tabia hiyo:target: kosoa panapotokea kosa usikosoe kabla ya kutendeka kosa:A S clock: hakuna alozaliwa kuwa anajuwa na...
0 Reactions
3 Replies
970 Views
I don't care if the thread am starting had been there before. I didn't see it and so do the other new comers. If you move it and never leave any tracks for me to find it, you are not fair. I...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
I was lookin' 4 somethg here thats y i'm late..Let me join with you guys..I hope we gonna share somethg 2gether...Thanx
0 Reactions
19 Replies
2K Views
hi.
Hodi, wana jamii naomba kujiunga nanyi katika kuchangia hoja. Nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
952 Views
Back
Top Bottom