Kwa mara ya kwanza nawaomba wanajamii mnikaribishe mimi wa hapahapa kwenye familia hii ya hapahapa ili nami nipate fursa ya kushiriki kwa namna moja au njingine matukio haya ya hapahapa duniani...
Nachukuwa nafasi hii kujitambulisha kwenu!
Nia ni kuwa sehemu ya wanaochagia mawazo katika jamii yetu, kwa kuwa weledi, makini, na huru katika kutafuta utatuzi wa changamoto zinazotukabili...
Wenyeji wangu wazima jamani? Dah niko hapa kitambo ila nilijisahau sikupitia haka ka utaratibu..leo naona nijitambulishe rasmi...hope hamtakasirika sana wakubwa.
Hi jf family,greetings.am the new kid in the block wishing 2 b part of ur family.wish w could stir up something 2gether & set the positive vibration in motion.asanteni.
Baada ya kusoma kwa siku kadhaa sasa nimeingia rasmi JF ila uchunguzi wangu umebaini kuwa kuna memba hawaielewi hii forum au kwa makusudi hawataki kuielewa, HESHIMU MAWAZO YA MWENZAKO KOSOA BILA...
Good day wana JF nyoote,
naomba baraka zenu wakati nikijitambulisha kwenu kwa ajili ya kusukuma maendeleo ya taifa letu mbele ndugu zang. Naomba nipokeeni kwa upendo wa bwana.
gawiza bhagalu? thanks
I AM GLAD I AM BACK TO JAMII FORUMS.
HOW ARE YOU DOING ALL?
NASEMA ASANTE SANA KWA JINSI MEMBERS WALIVYONIFANYA NIRUDI JAMII FORUMS KUTOKANA NA MICHANGO YAO SAFI TOFAUTI NA ZAMANI. NIMEFURAHIA...
Mimi ni msomaji mzuri wa post mbalimbali ambazo wana JF wamekuwa wakizichangia na huwa navutiwa sana na michango ya members. Tafadhali naomba mnipokee ili nami niweze kuchangia kwa manufaa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.