Sitakuwa na maneno mengi ya kuwaambia humu ndani nataka tu mjue dume limeingia na ole wenu msinikaribishe na kwa kuanzia natafuta mchumba aliye interested ani PM nimtumie e mail yangu tuwasiliane.
Asalaam alykum! Nisameheni jamani niliingia bila hodi wakati wa uchaguzi. Sasa nawasabahi rasmi. Nimefarijika sana na JF kwani penye wengi pana mengi. Hodiiiiiiiiiiiii:target:
HODI JAMANI. NAFURAHIA MAJADILIANO YANAYOFANYIKA JF KWA UWAZI UNAOJITOSHELEZA.
NITAFURAHI KUKARIBISHWA NA KUWA MWANA JF.
HITAJI KUBWA LA TANZANIA LINAFANANA SANA NA MANENO YA MWANDISHI HUYU WA...
Ninayofuraha kukaribia kwenye forum hii ya jamii....naamini mungu ataniongoza kujifunza kutoka kwenu wanajamii na pia kuwezakutoa mchango wangu
rgds,
hunduka daraa
wanajamii mpoooooooo!!!!!!!
Mimi ni mwanajamii mpya kabisa, yaani brand new. Sichachakachuliwa na itikadi yoyote wala siasa zozote au dhehebu wala nchi yoyoye zaidi ya shule ya darasani. naomba...
Hi! Salam zangu kwa wote mliofungua post hii...kwanza pili nikupiga hodi ukumbini hapa kulikonivutia sana sana....naomba ushirikiano wenu wakubwa...ni mimi wenu nilham....:a s 103::a s 103:
Hello guys!
I am a new member in this forum and i would like to just greet you.
i have decided to join this forum so that i can contribute something.
Have a nice day people!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.