Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wandugu kwema humu ndani?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Bwana yesu asifiwe,asalaam aleikhum.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hodi jamani,nadhani nyote waungwana na mtanikaribisha kiungwana! oke 2po pamooooja!:painkiller::painkiller:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello JF members, I am a new member, I believe this forum has people who critical thinkers, hoping to learn alot from you guys. lets use the forum constructively for the benefit of all. Thanks
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Heshima mbele ! Naomba kuchukua fursa hii kuomba kuungana nanyi wanajamii ili kuelemishana na kuchangia hoja mbalimbali zinazolenga jamii inayonizunguka na Tanzania kwa ujumla. Natanguliza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu mliomo. Mimi ni mgeni hapa na nategemea kupata ushirikiano toka kwenu nami nitashiriki niwezavyo mada zitakazonigusa kwa maendeleo ya wote. Na leo ninahitaji mchango wenu kwa mada...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hellow wadau wote popote mlipo ndio kwanza najiunga mambo vipi??????? naombeni mnikaribishe jamvini tupeane habari thanksssssss:angry:
0 Reactions
2 Replies
791 Views
Hallow guys..... Niko Hong Kong kwa muda. Nimeboreka mbaya. Any JF member down here?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Najisikia fahari kuwa sehemu ya jamii forum
0 Reactions
1 Replies
922 Views
hello everybody. it is wonderful to be part of this fantastic forum.
0 Reactions
1 Replies
934 Views
kwa kweli lazima niombe radi kwenu. kwa maana nilipoingia tu, sikuwa makini kupekua kila kona ya jamvi na kuona adabu za ukaaji wake. lakini kwa kuwa wenyeji ni waungwana na ma-intelligent...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naja naja kwa adabu kwenye jukwaa la adabu wengi wenu wa adabu thamani kama dhahabu natarajia mafunzo na mapambano kwa wingi tujenge taifa letu Tanzania itadumu!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hamjambo wanajamvi? Ni mwanachama wa siku nyingi ambaye nilijiunga nikitokea Tanzanet, lakini sikuwa hai kwenye jamvi kwa maana ya kuchangia. Hata hivyo nafarijika kuwa hakuna siku sijawahi...
0 Reactions
1 Replies
985 Views
Habari za majukumu wana jamii, mimi ni mgeni katika hii forum ndio kwanza nimejiunga.
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Hodi wanajamii wote naomba mnipokee. Kwa ujumla nafurahishwa sana jinsi mnavyobadishana mawazo na kujenga dhana zenye mantiki na mguso kwa jamíi. Hongereni
0 Reactions
2 Replies
888 Views
Habari za jioni.nawapongeza kwa kutupa nafasi kubwa ya kuchangia hoja mbalimbali,ambazo sisi wanajamii zina tukere.nadhani hoja zetu zina wafikia walengwa.by ombeni w lema
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Jf ni mtandao unaokwenda na wakati ndio 7bu nimeshawishika kujiunga.1 ya 7bu ni mafundisho.jf inafundisha jamii kwa kutoa mawazo na fikra nzuri zinazo kujengea kujiamini siku zote watu tuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jambo wana JF. Naombeni mnikaribishe jamani ila naomba niwaeleze mimi sifungamani na upande wowote. Kwenye jukwaa la siasa sina chama kwahiyo naangalia hoja na mwenendo. Chadema wakifanya vibaya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari za humu ndani? hii nikuwataarifu wana jamii forum ya kuwa namimi nimejiunga rasmi katika jamvi.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
hi to all JF's nio member mpya all the best
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom