Hello JF members,
I am a new member, I believe this forum has people who critical thinkers, hoping to learn alot from you guys. lets use the forum constructively for the benefit of all.
Thanks
Heshima mbele !
Naomba kuchukua fursa hii kuomba kuungana nanyi wanajamii ili kuelemishana na kuchangia hoja mbalimbali zinazolenga jamii inayonizunguka na Tanzania kwa ujumla.
Natanguliza...
Habari zenu mliomo.
Mimi ni mgeni hapa na nategemea kupata ushirikiano toka kwenu nami nitashiriki niwezavyo mada zitakazonigusa kwa maendeleo ya wote.
Na leo ninahitaji mchango wenu kwa mada...
kwa kweli lazima niombe radi kwenu. kwa maana nilipoingia tu, sikuwa makini kupekua kila kona ya jamvi na kuona adabu za ukaaji wake. lakini kwa kuwa wenyeji ni waungwana na ma-intelligent...
Naja naja kwa adabu
kwenye jukwaa la adabu
wengi wenu wa adabu
thamani kama dhahabu
natarajia mafunzo
na mapambano kwa wingi
tujenge taifa letu
Tanzania itadumu!
Hamjambo wanajamvi? Ni mwanachama wa siku nyingi ambaye nilijiunga nikitokea Tanzanet, lakini sikuwa hai kwenye jamvi kwa maana ya kuchangia. Hata hivyo nafarijika kuwa hakuna siku sijawahi...
Hodi wanajamii wote naomba mnipokee.
Kwa ujumla nafurahishwa sana jinsi mnavyobadishana mawazo na kujenga dhana zenye mantiki na mguso kwa jamíi.
Hongereni
Habari za jioni.nawapongeza kwa kutupa nafasi kubwa ya kuchangia hoja mbalimbali,ambazo sisi wanajamii zina tukere.nadhani hoja zetu zina wafikia walengwa.by ombeni w lema
Jf ni mtandao unaokwenda na wakati ndio 7bu nimeshawishika kujiunga.1 ya 7bu ni mafundisho.jf inafundisha jamii kwa kutoa mawazo na fikra nzuri zinazo kujengea kujiamini siku zote watu tuna...
Jambo wana JF. Naombeni mnikaribishe jamani ila naomba niwaeleze mimi sifungamani na upande wowote. Kwenye jukwaa la siasa sina chama kwahiyo naangalia hoja na mwenendo. Chadema wakifanya vibaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.