First of all I salute all of U in the name of jah.....de king of da kings
Aluta Continua!, kwa kura yangu kuchachuliwa bado nina uchungu, uchungu huu hautaisha adi kieleweke wanaa JF karibu sanaaa...
Miongoni mwa wa Tanzania walionufaika na jf mimi ni miongoni mwao hivyo watanzania wenzangu au wanafamilia wa jf nikiwa kama kijana mtiifu mpenda maendeleo a.k.a Baba paroko ninaomba ukaribisho...
mnakuwaje kupanda ngazi humu? maana sijaingia humu kupost mambo au ndio maana nimo ngazi ya chini? naona waliojiunga juzi ni member na mie ni junior member
kwa sasa nipo nje ya Tanzania...
Kwanza naweka heshima mbele kwenu wanajamii kwa michango yenu ya kujenga. Nami leo nimeamua kujiunga nanyi katika chombo hiki huru cha kuchangia mawazo yetu yanayojenga. Hope mtanipokea.:yo:
Jamani mtanisamehe niliingia kwa dirisha wakati wa uchaguzi (damn! i was so angry) kwa hiyo sikubisha hodi, sasa jamaa wamenipa maji nimemezea hasira yangu imeenda kutengeneza ulcers tumboni ndo...
Jamani Hodi!!
Watanzania wenzangu wana JF nawashukuru kwa sababu nimejifunza kwenu mengi nikiwa siyo member na sasa nimelazimika kujiunga kwani ninaamini hapa ni mahali pa watu wenye akili na...
Habari wakuu wa itifaki
Naitwa Shikutengi, nimekuwa nikivutiwa sana na Jimii forum kwa siku nyingi sasa leo uzalendo umenishinda nimeamua kuwa muumuni (member) naomba mnipokee
niko...
mambo ni aje wapenda amani na maendeleo wenzangu mimi naitwa gudchaz........ningependa pia kufahamu jinsi ya kuwa premium member au senior member au expert....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.