Wana JF, mimi ni mteule wa RAHISI wa INCHI HII ya Jah-Mhuri wa Muunga-ngano, naomba uthibitisho wa MJENGO WENU MTUKUFU . . . niwaongoze kwa miaka 60 ijayo . . .
Hello JF members
I am a new member, napenda ku-interact na watu, so nimeamua nijiunge katika JF. I plan to be very active so watch out for this username.
Peace
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Jamii Forums toka ikiitwa Jambo Forums.Kila siku lazima niingie humu ili kujua kinachoendelea hapa nchini na dunia nzima kwa ujumla kwenye nyanja mbalimbali kama...
Najisikia furaha kujiunga na hii platform ili nami niweze kushirikiana nanyi wanajamii katika nyanja mbalimbali.
Kwa heshima na taadhima naombeni mnikaribishe,
Asanteni.
Habari wana JF,mi ni mwana JF mpya,nawapa salam ndugu zangu,
naomba mnipokee kwa mikono miwili,naamini nitanufaika na kujifunza mengi mapya ktk nyanja zote za maisha.
Ahsanten sana,
Hi All,
Ndugu zangu wana JF nachukua nafasi hii kujitambulisha na kuomba kukaribishwa katika mawazo na mijadala ya hapa na pale yaani kijamii, kisiasa n.k. Natanguliza shukuran zangu za dhati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.