Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Napiga hodi kwa wana JF wote napenda kuungana na hii jamii katika kuongelea mada mbalimbali.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Poleni na majukumu naomba mnipokee mtu wenu,nimekuja tuweze kubadilishana mawazo kidogo,nawapenda kwa hoja na misimamo isiyoyumba asanteni sana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello wanaJF! mambo zenu? Anyway hatimae niko in ze house. Nitapenda kushirikiana na ninyi ktk topic mbalimbali pale panapobidi kufanya hivyo! Ahsanteni!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote...nipokeeni mie mgeni wenu
0 Reactions
8 Replies
972 Views
Nice to join you here. Work hard, have a great and enjoyable day. Avoid false excuses like this one Father: Why are your exam marks so low? SON: Because I sit at the desk at the back, Dad. Father...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hodi hodi wenyeji, wanfamilia wa JF.. Najitambulisha kwenu, mimi mgeni mpya wa familia hii kubwa. kijana wa kiume nnayejulikana kwa jina la mwesiga. Nashukuru sana kwa kunipokea
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nawaheshimu niliowakuta kwenye bodi hii nimeambiwa nifanye hivyo! Nisiowakuta hata sijui!!?? Mnipokee hivyo hivyo, nilikua outside member, sasa ndani ya nyumba
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimefuatilia jamii forum kwa kipindi cha miezi mitatu na nimevutiwa sana jinsi watu wanavyo wakilisha mada na kuzichanganua. Pia napenda ukweli na uwazi ulivyotawala humu jamvini. Ukichemsha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
how are you folks!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wenyeji humu nyumbani? Mimi ni member mpya naombeni nafasi nyumbani Its me Wailing
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni furaha kuwepo pamoja nanyi ndani ya hili jamvi tukufu. Ni matumaini tangu tutashirikiana na kusameheana kwani sisi wanadamu asili yetu ni kukosea na kuwa wahitaji siku zote. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nawapenda wote naomba kukalibia katika jaamii yenu Ahsante
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote wana jamii.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mambo tanzania na walimwengu wote,napenda kuuliza tanzania je hivi mtu msomi maana yake nini?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa JF, Napenda kutumia fursa hii kujitambulisha kwenu rasmi. Nimekuwa nikishiriki kwenye jukwaa hili kama mgeni, lakini sasa nimeamua kwa dhati kabisa kuwa mwanachama. Nimekuwa nikivutiwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa heshima na taadhima nabisha hod jamvini,nawasalimia kwa heshima tulofunzwa na wahenga wetu wakubwa kwa wadogo,wake kwa waume;naomba mnipokee... Nimekuwa nikifuatilia takriban miezi minne...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cv: Jina msomi wazama umri:nimezaliwa 1942,tabora 1960-1962:cheti cha kilimo nyegezi mwanza 1957-1960:middle school sikonge tabora 1953-1957:elimu ya msingi uzoefu wa kazi/uongoza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf leo uzalendo umenishinda nami nimeona nijiunge nanyi.....hope mtanipokea asalaaaam aleykum
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisoma JF kwa muda sasa na kweli nimejua mengi sana na leo nimeona niungane nanyi na kuwa miongoni mwa wanajamii! Bila kinyongo najua nitakaribishwa! Nangoja kukaribishwa hapa !
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuingia jamvini bila hodi. Nilijiunga na jamvi baada ya tarehe 31 octoba ya 2010. Kilichonivutia awali ilikua ni kupata matokeo ya uchaguzi. Ila baada ya kuona michango...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom