Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habari wana JF! Nimefurahi kuwa member wa familia hii.
0 Reactions
8 Replies
980 Views
Pa pa pa paaaaaaa..........aa nimewapata wana JF pa..papa.,.pamoja sana.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mzee wa JF!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello People, Just wanted to introduce myself in this forum.BTW, have been following up discussions and news for sometime without registering but now i wish to be a member!! Cheers!!
0 Reactions
9 Replies
998 Views
Pa pa pa paaaaaaa..........aa nimewapata wana JF pa..papa.,.pamoja sana.
0 Reactions
1 Replies
837 Views
Jamani hodi humu!! Mgeni naomba kujitambulisha kwa wenyeji....! Nimekuwa nikichungulia dirishani kwa muda sasa, nikaona niingie sebuleni ili nipate kujifunza mengi zaidi! Naamini mnanikaribisha...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello wana JF, Nime appreciate hili jukwaa ni bab kubwa. Im glad to be part of it.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hodi mabibi na mabwana,naombeni mnipokee jamvini kwenu.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wana JF! Nimefurahi kuwa member wa familia hii.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
da ebwana najifil nahitaj manolej yenu na niwatupie maeksipiriens yangu ingawa sio mzoefu nikaribishen wadau nijaze ma head.ngo ngo ngo.
0 Reactions
5 Replies
838 Views
Natumai wana Jf wote wa zima. Mnipokeee.
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Natumai wana Jf, wote ni wazima na buheri wa afya habarini nyote.
0 Reactions
6 Replies
905 Views
Kufikiri, kuibua hoja na kuwasalisha mawazo ni sehemu ya upeo wa akili yangu, mi ni mdau wa Siasa,Elimu,Teknolojia,Uhusiano na mapenzi. Nawaombeni wana JF mnipoke kwa mikono miwili hooodi!!!
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Hodi Jamvini Humu, Heshima zenu woote jukwaani. Miaka mitano iliyopita mwezi kama huu na tarehe kama Bongo Pix Blog ilizaliwa, post ya kwanza iliwekwa katika blog, hayakuwa maamuzi mepesi kuanza...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari za kazi wana jamii hongereni kwa kazi za ujenzi wa taifa wengi mnafahamu kuwa mimi ni mgeni jamii forum inaweza ikawa kweli ...mimi ni mgeni wa ku post thread ila co mgeni wa jamii forum...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kila chanda chema huvishwa pete.jf.idumu wana jf hongereni. Kiukweli ninayo mengi yakusema. Ila kwakua nimgeni,napenda nitosheke na hili la kutambulika, kama mwana jf. Hai. Kiukweli nimefarijika...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nachukua muda huu kuwaomba ndugu zangu wapendwa mnikaribishe kwenye hii familia ya JF. Nimejifunza mengi sana kupitia kwenu wakati nikiwa sio member. Sasa nimeona umefika wakati na mimi kuingi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
deadteja is here, jamani! naombeni, kwa mioyo iliyo kunjufu kabisa, mnikaribishe hapa kunako jamvi. msinitenge, mi mwenzenu under the same sun, the same god and l breath, of course, the same...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wana JF, Kweli its an honor kua mgeni wa "Great Thinkers"; I believe nitapata meeengi toka kwenu (the IRONY nimeiskia Jamii Forum baada ya mwanasiasa wetu kulalama).
2 Reactions
45 Replies
4K Views
helw friends, im new here, i hope i'll get a warmly welcome from you thanks
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom