Kila chanda chema huvishwa pete.jf.idumu wana jf hongereni. Kiukweli ninayo mengi yakusema. Ila kwakua nimgeni,napenda nitosheke na hili la kutambulika, kama mwana jf. Hai. Kiukweli nimefarijika sana plz ,nihita a big suport toka kwenu asanteni.