Wana JF, Kweli its an honor kua mgeni wa "Great Thinkers"; I believe nitapata meeengi toka kwenu (the IRONY nimeiskia Jamii Forum baada ya mwanasiasa wetu kulalama).
1.Karibu sana,utapazoea ni pazuri,soma masharti ya hapa vinginevyo utakula BAN.
2.Hapa njia ziko nyingi kuna ile ya siasa,biashara, mapenzi na mahusiano na nyingine nyingi, njia hizi waweza kupita bila kibali.
ila kuna njia moja inaelekea panapoitwa. Jukwaa la wakubwa, hapo ukiingia huko ni kivyakovyako.AT YOUR OWN RISK. Ukifika huko utakayoyakuta usimlaumu mtu.Huko unaingia kwa kibali.Mtoa kibali ni mheshimiwa mmoja anaitwa invisible.Wengi mitaa hiyo huitembelea kimya kimya na kutoka kimya kimya. Usiniulize kama nilishaenda mitaa hiyo au la nitakujibu SKUMBUKI.
3.Kuna michango unaombwa kutoa kuchangia JF.Ukitaka wasiliana na huyohuyo mtoa vibali vya kuingia mtaa wa wakubwa.
4.Hapa hatujuani kwa majina halisi wala sura,tupotupo tu,nina zaidi ya mwaka sijamjua mtu jina halisi au sura.
5.KARIBU SANA.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.