Moja ya hasara ya mwanamke aliye hodari na kazi za nyumbani ni viganja vya mikono kuwa vigumu au vikavu.Kama unafua na maji na sabuni,kuosha vyombo,kusafisha nyumba,kubadili watoto nepi au...
Habari zenu wana JF
Naomba mnisaidie ni powder gani inafaa kwa Uso wenye ngozi ya kawaida kwani nilikuwa napaka nikipaka powder napata rashes .
Powder nilizopaka ni:
=Ponds
=Royal
=Mac
=Family...
Ni nani huwadanganya enyi wanawake yakwamba eti kujichubua ndio unakuawa mrembo na mwenye mvuto?
Kiukweli ewe unayechubua ukikutana na mwalimu wa sanaa yaani nipishe na upite mbali kabisa...
Habari,
Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari,
Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa,
Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment...
Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.
Hata hivyo, wataalamu wa afya...
Naomba kufahamishwa kama madawa nazani yatakua ya kichina ambayo watu wanatumia kupunguza mwili je yana madhara yoyote kwa mwili? Na kipi bora kati ya kufanya mazoezi ili upunguze mwili na...
Jamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu.
Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni...
Benefits of Apple CiderVinegar
1.Stimulates scalp to promote hair growth
2.Cleanses hair without stripping natural oils
3.Removes build-up from chemical products
4. Helps hair retain moisture for...
Namba za mawakala hazipatikani, meseji hazijibiwi, au ndio alikusanya mikwanja akasepa na kijiji.
Tupeane ushuhuda wakuu, kama kuna yeyote aliyetumia udongo na ukamsaidia alete ushuhuda hapa, au...
Wembamba wa nywele zangu unazifanya ziwe za kipili pili. Nawaza kama zingeweza kuongezeka unene zikawa 'stout' hili lingesaidia zinyooke na ningeweza kufuga afro....
Sasa nawauliza nifanye nini...
Salama wana jukwaa?
Naomba kila mwenye picha ya vazi lolote la harusi atupie hapa. Yote ya kike na ya kiume.
Itakuwa msaada zaidi ukisema ulinunua duka lipi. Na wale wenaouza haya mavazi watupie...
Mshukuru muumba kwa vile jinsi alivyokuleta duniani.
Usilazimishe lami ifanane na ugali.
Hiki ndiyo kitachachokutokea kama ukilazimisha lami ifanane na ugali
Just stay natural.
Naukubali mwili wangu jinsi ulivyo ila naomba ushauri ni jinsi gani naweza kuongeza muonekano wangu maana mwili wangu mimi ni mwembamba kiasi kwamba nikivaa masharti nahisi hayanikai vizuri, wale...