Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu nipo mkoa Fulani huku Kanda ya ziwa, nimelima mazao hekari 10. Nne za mahindi na 6 za mpunga Kati ya hekari 4 za mahindi hekari 2 na nusu ziko vizuri na mbolea niliwekea so sasa hivi...
1 Reactions
3 Replies
470 Views
Zingatia Mambo Haya Ili Kuhakikisha Unakuwa Na Shamba Lenye Miti Yenye Afya Na Mavuno Mengi. Kwa Wakulima wa Matunda Wa Muda Mrefu na wapya watakuwa mashahidi kuwa ili Shamba liwe na Mavuno Bora...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Huu mmea nimekuta sehem umejitenga na mimea mingine, Sijapata kuliona pahala popote. Kwa anayejua
1 Reactions
5 Replies
690 Views
Wadau na watalaamu wa kilimo cha nyanya hali ya mvua inatishia kwa uzalishaji wa nyanya tupeane mbinu mbalimbali za kupambana na hali iih ni sumu gani zinafaa kupuliza? Natanguliza shukurani
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Shamba linauzwa, linaukubwa wa ekari 20, umeme upo kijijini ni jirani na shamba. Ekari moja ni 500,000/ Kwa maelezo zaidi 0716548250
2 Reactions
3 Replies
871 Views
Mwaka 2023 umekua mwaka wa neema kwa wafugaji, mwaka wa maji mengi na malisho mengi tofauti na mwaka 2022 ambapo ng'ombe wengi walikufa.Gazeti la Mwananchi la Jan.16,2022 liliandika kuwa Ng'ombe...
7 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimepanda mahindi mwezi November 2023 maeneo ya mkuranga mbegu ya pioneer sasa yamefikia hatua ya kubeba(yana miezi miwili) ila yamepata tatizo lakunyauka majani kuanzia chini kuja...
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Watalaamu, naomba utofauti wa shade house na green house, ipi ina faida kuioperate.
0 Reactions
3 Replies
498 Views
Habari wakuu.... Natamani nianze rasmi kilimo hiki, naomba ushauri kuhusu masoko na bei zake huwa zikoje huko masokoni..... Niko Morogoro mjini. Karibuni.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Sasa ni muda muafaka kwa vijana kuingia kwenye kilimo. Najua vijijini gharama za kilimo huwa chini, unaweza kubahatisha mashamba yenye rutuba na yanakodishwa kwa bei nafuu. Na pia katika...
15 Reactions
104 Replies
10K Views
Kama kichwa kinavyosema mwaka huu nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa je wataalamu naomba msaaada wa changamoto na wenye uzoefu na kila kitu kinachohusu ufugaji huuu asante
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa mwenye kujuwa huu ugonjwa, tafadhali anisaidie niwape dawa gani wanazunguka zunguka kwa kukunja shingo mwisho wanakufa.
0 Reactions
42 Replies
18K Views
Habari zenu wapendwa, Baada ya kushawishika na upandaji mbogamboga katik mazingira ya nyumbani, nimejaribu mboga kadha wa kadha nimeweza ila hohoho zinanishinda kuanzia kitalu,nimefanya attempts...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari, Wakulima na wauza mazao, nahitaji mkulima au muuzaji nafaka mwenye stock ya kutosha zao la dengu tuwasiliane mara moja. Asante sana.
0 Reactions
2 Replies
582 Views
Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu. Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani. Kwa hiyo 2022...
100 Reactions
164 Replies
18K Views
1. Kutahitajika kiasi gani kwa ajili ya kupanda eka 20? 2. Inapatikana wapi mkoani Mwanza au mikoa ya jirani? 🙏🙏🙏
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Mbegu za zao la azolla zinapatikana wapi kwa Dar
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wazee naomba mtu yoyote anaejua au anandugu ambae anavyenzo vya uvuvi naomba anipe fursa hiyo nipo dar ...
0 Reactions
10 Replies
761 Views
Hello members Aisee kuna fursa pia ufugaji wa wanyama pori ila fursa hii ni mahsusi kwa wenye mitaji mikubwa (ujenzi wa miundombinu) Mathalani kufuga viboko : kiboko wakati wa kumchinja kama...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimeanza ufugaji wakuku wa kienyeji, nimeanza na kuku jike 3, jogoo 1 ila saizi ni mwezi wa pili sioni Jogoo hata akikimbiza kuku wa kike nifanyaje?
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Back
Top Bottom