Habari wanajamvi. Kama mada tajwa hapo juu. Natafuta shamba lenye ukubwa wa kuanzia hekari 20 hadi 100 kwa ajili ya kufugia.
Vigezo!
1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za miti
2. Lisiwe na mgogoro wa aina yoyote
3. Muuzaji awe tayari kuonyesha nyaraka halali za umiliki wa eneo husika.
4. Liwe karibu na chanzo cha maji au eneo hilo water table iwe karibu kurahisisha uchimbaji wa visima.
5. Likiwa na mwinuko au kilima ndani itapendeza pia.
Vigezo!
1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za miti
2. Lisiwe na mgogoro wa aina yoyote
3. Muuzaji awe tayari kuonyesha nyaraka halali za umiliki wa eneo husika.
4. Liwe karibu na chanzo cha maji au eneo hilo water table iwe karibu kurahisisha uchimbaji wa visima.
5. Likiwa na mwinuko au kilima ndani itapendeza pia.