dimple
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 100
- 126
EDITED
Nimeanza rasmi may 2 2023
Habari wapendwa mimi engineer by profesional pia ni mjasiliamali hua najishighulisha na kilimo na ufugaji tangu nimalize chuo sikuhitaji ajira kivile ingawa mwanzo tu nilipo graduate niliajiliwa kampuni moja binafsi ila sikukaa sana nikaacha nikaamua kulima. Nimeshalima mazao mbalimbali iñgawa nilipitia changamoto nyingi sana sikukata tamaa ila changamoto kubwa niliyojifunza ni Mtaji.
Kilimo ni PESA kama huna mtaji mkubwa acha kulima borà ununue mazao otherwise utatumia muda mwingi na nguvu nyingi kukusanya mtaji sabab si kila mwaka utapata mavuno yenye faida utajikuta unaanguka kila mara mwishoe ukate tamaa hata kama una pesa ya gunia 10 anza na kununua mazao weka stoo sahau izungushe hiyo pesa kwa muda fulan hadi itapokua nakwambia hivi sabab hakuna anaenunua mazao akaweka stoo anapata hasara hii ni uhakika 100% kupitia mm nkmelima sana hizi ekari 5 -10 tena nilijitosa mwenyewe front sikufichi ni ngumu sana kutoboa unatumia muda mwingi na nguvu nyingi sana kitu ambacho ungeswma ununue mazao ungekua na muda mwingi wa kufanya mambo mengine
Nimedundukiza mtaji nilianza na mpunga wa milion 40 kitu ambacho nimejikuta nanunua mpunga huku nina muda wa kuisimamia mwenyewe project yangu ya kuku wa mayai na kienyeji.
KUKU Wa KIENYEJI:sabab lengo kuu ikikua ni kuja kuwa mfugaji mkubwa niliamua kuanza kujifunza ufugaji wa kuku kwa vitendo ndo nikaanza kujifunzia kuku wa kienyeji
Hawa kuku ninao wachache kama 50 ikiwa chotara ni chotara na kienyeji pure.Hivyo kienyeji ninao haohao 50 ambapo kwa siku napata mayai 17 hadi 28 ya kienyeji na nauza moja 400 tray 12000 +kuku kwa kitoweo majiran wameshapazoea sana na hadi sasa wanajilisha wenyewe nimegundua hii siwezi kuiacha sabab hadi sasa nimeshazoeleka kwa wanaohitaji kuku wa kula na mayai ya kienyeji
KUKU WA MAYAI:
nina eneo la kutosha lina fance na limejitenga kwa maana kuna ukuta katikati kutenganisha uani kwangu na huo uwa wa pili ni kama 11m x 25m. Tulipozungushia ukuta mwanzon nilitaka kukata vyumba vya wapangaji ila baadae tukaamua na mr niweke kuku kwanza
Nilichukua kuku 600 wa mayai ila nimebaki nao 570
Nilianza na cage 2 za vifaranga kwa kuku wa siku 1 hadi siku 30 zilizo ni cost kama laki 9 kwa zote 2 na cage za local 2 za mbao zilicost kama laki 5 kwa kuku wa miez 2 na nusu hadi miezi 3 na nusu
Baada ya hapo nikanunua cage za kuku wakubwa 5 kila moja laki 8 na nusu nikajenga banda la kuingia cage 6 kwa gharama za milion 3 na kidogo hapo ndo mradi ukawa umeanza rasmi nakumbuka kuku walianza kutaga wakiwa na miez 4 na siku 26 almost mitano nimeanza na hivyo naendelea na namshukuru Mungu kwa hapa nilipofikia sabab na wao walishaanza kujilisha kitambo sana hapa nimeweka oda ya vifaranga 1200 kati ya may o june viingie.
Ninaendelea kutanua banda kidogo kidogo hadi kufikia kuku 2000 -3000 kwa hapa home.
Kwa maswali na ushauri kuhusu ufugaji wa kuku karibu niulize chochote
Nimeambatanisha pisha za stage tofautitofauti za kuku wa mayai na kienyeji View attachment 2908997View attachment 2908999View attachment 2909000View attachment 2909002View attachment 2909004View attachment 2909005View attachment 2909006View attachment 2909007View attachment 2909008
Nimeanza rasmi may 2 2023
Habari wapendwa mimi engineer by profesional pia ni mjasiliamali hua najishighulisha na kilimo na ufugaji tangu nimalize chuo sikuhitaji ajira kivile ingawa mwanzo tu nilipo graduate niliajiliwa kampuni moja binafsi ila sikukaa sana nikaacha nikaamua kulima. Nimeshalima mazao mbalimbali iñgawa nilipitia changamoto nyingi sana sikukata tamaa ila changamoto kubwa niliyojifunza ni Mtaji.
Kilimo ni PESA kama huna mtaji mkubwa acha kulima borà ununue mazao otherwise utatumia muda mwingi na nguvu nyingi kukusanya mtaji sabab si kila mwaka utapata mavuno yenye faida utajikuta unaanguka kila mara mwishoe ukate tamaa hata kama una pesa ya gunia 10 anza na kununua mazao weka stoo sahau izungushe hiyo pesa kwa muda fulan hadi itapokua nakwambia hivi sabab hakuna anaenunua mazao akaweka stoo anapata hasara hii ni uhakika 100% kupitia mm nkmelima sana hizi ekari 5 -10 tena nilijitosa mwenyewe front sikufichi ni ngumu sana kutoboa unatumia muda mwingi na nguvu nyingi sana kitu ambacho ungeswma ununue mazao ungekua na muda mwingi wa kufanya mambo mengine
Nimedundukiza mtaji nilianza na mpunga wa milion 40 kitu ambacho nimejikuta nanunua mpunga huku nina muda wa kuisimamia mwenyewe project yangu ya kuku wa mayai na kienyeji.
KUKU Wa KIENYEJI:sabab lengo kuu ikikua ni kuja kuwa mfugaji mkubwa niliamua kuanza kujifunza ufugaji wa kuku kwa vitendo ndo nikaanza kujifunzia kuku wa kienyeji
Hawa kuku ninao wachache kama 50 ikiwa chotara ni chotara na kienyeji pure.Hivyo kienyeji ninao haohao 50 ambapo kwa siku napata mayai 17 hadi 28 ya kienyeji na nauza moja 400 tray 12000 +kuku kwa kitoweo majiran wameshapazoea sana na hadi sasa wanajilisha wenyewe nimegundua hii siwezi kuiacha sabab hadi sasa nimeshazoeleka kwa wanaohitaji kuku wa kula na mayai ya kienyeji
KUKU WA MAYAI:
nina eneo la kutosha lina fance na limejitenga kwa maana kuna ukuta katikati kutenganisha uani kwangu na huo uwa wa pili ni kama 11m x 25m. Tulipozungushia ukuta mwanzon nilitaka kukata vyumba vya wapangaji ila baadae tukaamua na mr niweke kuku kwanza
Nilichukua kuku 600 wa mayai ila nimebaki nao 570
Nilianza na cage 2 za vifaranga kwa kuku wa siku 1 hadi siku 30 zilizo ni cost kama laki 9 kwa zote 2 na cage za local 2 za mbao zilicost kama laki 5 kwa kuku wa miez 2 na nusu hadi miezi 3 na nusu
Baada ya hapo nikanunua cage za kuku wakubwa 5 kila moja laki 8 na nusu nikajenga banda la kuingia cage 6 kwa gharama za milion 3 na kidogo hapo ndo mradi ukawa umeanza rasmi nakumbuka kuku walianza kutaga wakiwa na miez 4 na siku 26 almost mitano nimeanza na hivyo naendelea na namshukuru Mungu kwa hapa nilipofikia sabab na wao walishaanza kujilisha kitambo sana hapa nimeweka oda ya vifaranga 1200 kati ya may o june viingie.
Ninaendelea kutanua banda kidogo kidogo hadi kufikia kuku 2000 -3000 kwa hapa home.
Kwa maswali na ushauri kuhusu ufugaji wa kuku karibu niulize chochote
Nimeambatanisha pisha za stage tofautitofauti za kuku wa mayai na kienyeji View attachment 2908997View attachment 2908999View attachment 2909000View attachment 2909002View attachment 2909004View attachment 2909005View attachment 2909006View attachment 2909007View attachment 2909008