GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,694
- 6,396
Mwaka Jana, miwili iliweka matunda machache. Mti wa kwanza ulizaa embe 1 na wa pili maembe 2. Ilikuwa mitamu sana.
Nilitarajia mwaka huu miti yote 5 ingezaa, tena matunda mengi kuzidi ya mwaka Jana. Imekuwa kinyume chake.
Katika miembe yote 5 iliyopo, ni mmoja tu ndiyo uliozaa, tena matunda mawili tu.
Kwa nini haizai? Ni kawaida?
Nilitarajia mwaka huu miti yote 5 ingezaa, tena matunda mengi kuzidi ya mwaka Jana. Imekuwa kinyume chake.
Katika miembe yote 5 iliyopo, ni mmoja tu ndiyo uliozaa, tena matunda mawili tu.
Kwa nini haizai? Ni kawaida?