NTIBUYUYIZA
Member
- Jun 3, 2013
- 19
- 1
Habari wadau, nimepanga kulima nyanya mwaka huu, nataka nitakazouza muda wa kuanzia mwezi wa 11 mpaka muda huu naomba mnishauri kwa yafuatayo;
1. Nianze kufulia mbegu lini
2. Nianze kulima lini?
3. Nilime mbegu gani,
4. Niandae mbolea zipi na zipi kwa mpangilio upi na upi
5. Nataka kulima nusu heka mbegu itakuwa kiasi gani? Kwa gharama gani?
NAOMBENI USHAURI
1. Nianze kufulia mbegu lini
2. Nianze kulima lini?
3. Nilime mbegu gani,
4. Niandae mbolea zipi na zipi kwa mpangilio upi na upi
5. Nataka kulima nusu heka mbegu itakuwa kiasi gani? Kwa gharama gani?
NAOMBENI USHAURI