Miaka na miaka kuna watu wanandaga Israeli kujifunza kilimo.
Israeli kama unavyojua imepiga hatua kubwa sana kwenye Kilimo kiasi kwamba levo zao ni Nchi za Ulaya na Marekani.
Sasa jamaa zetu...
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo)
Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa?
Msaada kwa anayeelewa.
#commred Chichimizi
Nafanya biashara ya kuuza mboga za majani za aina tofauti, kwa hali hii ya joto zinawahi kusinyaa hivyo kupoteza muonekano wake mzuri na kukosa wateja.
Nipeni mbinu ya kufanya mboga za majani...
Habari za saa hizi wadau.
Mimi ni mkulima mdogo wa maharage katika wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara.
Ninapenda kuulizia fursa ya kukodi shamba la kulima maharage na mahindi mkoani Tanga...
Habari za asubuhi wadao. Naomba connection ya sehemu linapolimwa tumbaku na ugoro ukiachana na Ngaramtoni ya chini kule Arusha.
Nahitaji kama heka tano za kukodisha kwa ajili ya kulima msimu huu...
Nawa salimuni kwa jina la Mungu. Ndugu wafugaji na wakulima Mwaka 2024 huu Mungu ametujaalia kuwa salama tena na kutubarikia kwa kila hitaji letu na familia zetu, tunawapa pole wale wote...
Kwa anayejua abc kuhusu kilimo cha mtunda damu - passion fruits, naomba tuweze kupanuana maarifa kwa yafuatayo:-
1. Ardhi inayofaa kilimo hiki au hata green house
2. Upatikanaji wa mbegu bora
3...
Msimu huu wakulima wa Machungwa aina ya Valencia wamepata fedha nzuri, kwani mpaka Muda huu kule mashambani muheza Tanga bei ya Chungwa moja ni Tsh 100 hiyo ni bei ya shambani tena hapo mkulima...
Habarini?
Naomba kufahamu ni sehemu gani Mbeya wanapo Fanya kilimo cha mpunga kwa kumwagilia bila kutegemea mvua, anaefahamu naomba anijuze nikijua hadi kijiji itanisaidia zaidi.
Blue berry huwa ni ghari sana, na ni pendwa sana, na ni moja ya very expensive fruits kwa Tanzania, na nadhani ni kwa sababu inalimwa na wakulima wachache sana.
Mfano kwa Kenya nadhani ni Kakuzi...
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila...
Ndugu, katika pitapita kwenye magroup ya wahangaikaji, nimekuta mtu anasema kilimo cha parachichi (aina ya fuerte) kinastawi Wilaya ya Urambo Tabora...Vipi kuna ukweli??
asante
Kuna matajiri wakubwa Tanzania ambao utajiri wao waliupatia kwenye kilimo. Kuna ambao ni wakulima matajiri wanaoendelea na kilimo mpaka sasa. Na kuna matajiri walioamua kuingia kwenye kilimo...
Wadau nipo kwa niaba.
Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic...
Kwa hivi sasa bei ya mahindi maeneo mengi imeporomoka sana, kule Tarime naambiwa gunia la mahindi la kg 108 linauzwa 35,000/-, kwa hali hii ya mkulima itaendelea kuwa duni miaka yote.
Wakuu kwa wale wafugaji wa kuku wa kisasa aina ya layers yaani kuku wa mayai wale wanaotaga, nahitaji mbolea ya kuku wa aina hiyo. Itapendeza vizuri iwe ni kwa wale wanao fugiwa chini.
Yeyote...
Habari zenu wadau
Katika kutafuta maisha nmeamua kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa lakini sasa kupata pure breed anayetoa angalau 25 litres per day imekuwa changamoto.
Nimeshapigwa mara 2...
Habarini wanajamvi bila shaka mko poa kabisa.
Natamani kufahamu zaidi kutoka kwa watu wenye uzoefu wa vilimo vya mazao tajwa hapo juu(parachichi na korosho).wataalamu wa uchumi wa kilimo...
Nataka kupanda miche kama kumi hivi ya miparachichi nyumbani. Naomba ushauri wa kitaalam ili inipe matokeo bora je ni aina gani ya mbegu nitumie kwa ajili tu ya parachichi bora ya kula nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.