Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Mimi ni mtaalam wa fani inayoitwa Communication Arts. Nimehitimu chuo kikuu nchini Marekani. Ni bingwa katika kila kazi ninayoifanya. Baada ya kufanya kazi hapa Dar miaka kadhaa, nimeona kwamba...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama una Fedha za Kigeni ambazo hazichenjiwi Bureau de Change nyingi ni Pm ama ni Check kwenye; 0767-074040 0714-074040
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira. Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima. Vipi taratibu ni zipi? Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, mnaweza kunisaidia ni njia zipi naweza kutumia kupata LOCAL adertisers au sponsors kwenye blog au website ambayo nataka kuianzisha?
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta mwenye utaalamu wa kuandika documents za kufungua kampuni. Nina wazo la kufanya biashara ndogo tu kwa kuanzia ila baadae naamini itachanganya na kuwa kubwa so nahitaji niwe na kampuni...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufaham fasaha juu ya ubadilishaji wa fedha za kigeni na yetu, nasikiaga watu wanafanya bishara yakubadilisha fedha kila kukicha mjini, je ni nani ambaye anajua...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
heshima mbele wakuu.ninaomba kujua ni njia gan yakuaminika ninayoweza kuagiza eletronics(simu,laptop n.k)kutoka nje ya nchi(u.s,india na japani)..msaada tafadhali..
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wanaohitaji vitabu vya elimu ya Ujasiriamali na Mafanikio kwa ujumla – kwa ajili ya kufundishia au biashara (jumla tu) kuna kitabu chenye kichwa “MAFANIKIO YA KIFEDHA”. Kitabu hiki tayari kiko...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Mimi ni mjasiriamali, naendesha biashara zangu ktk eneo la Kariakoo Dar es salaam. Katika biashara yangu nimejikita zaidi kwenye kuuza/supply bidhaa za Stationery na Printing. Nimejikita kwnye...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hope wazima, mi naomba msaada jamani, ninapenda sana kuanza duka la nguo mkoani,nimefanya marketing survey nimeona mkoani patalipa kuliko hapa dar, sasa ninataka kupata usaidizi maana nataka niwe...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu habari yenu Aisee katika pita pita yangu humu niliona kuna post nyingi kuhusu ufugaji wa kuku zikieleza jinsi ya kufuga kuku na maelekezo yake kwa kina Ila leo nilikuwa nina swali kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataka kufanyanbishara ya MPESa, Tigo pesa, uuzaji wa vocha za Startimes, DSTV, Dawasco nk. Nimeambiwa rahisi kupata zote kupitia kampuni ya Selcom. Kwa wenye uzoefu utaratibu upoje na je, inalipaje?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Amani kwenu wadau!..natumai wote ni wazima na mnaendelea vyema na majukumu! nahitaji msaada kwa yoyote anayefahamu zaidi juu ya T shirts, Caps, Mugs and wheel covers printing business anipe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika Hekaheka Za Utafutaji Niko Nje Ya Nchi Nimeajiriwa Na sasa Nina Laki 3 Tsh...Ila Nahitaji Kurudi Tz Ili Nijiajiri. Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa Kujumua Viatu Mbeya...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Mimi ni mama ambaye niliamua kuingia kwenye uwakala wa mpesa na tigo pesa. Nilianza kulipia mpesa jamani ni siku chache tu nimepata line yao, hongera mpesa. Kuja kwenye tigo pesa nimelipia zaidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
My company has teamed up with a Chinese Company (Green Energy Company) The long term plan it to produce bio fuel but currently we are looking at cultivating maize, sugarcane, rice, sorghum and...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
It feels a little awkward when you meet a client that asks for your website so that he can have a good understanding of your products just to learn you dont have one. Many small businesses...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I’m going to show you why you need to build your own business, and exactly what kind of business. But this isn’t just about changing the type of business you’re working with; it’s also about...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau, Watu wengi wamkuwa wakiuliza faida katika biashara ya radio, jibu hili hapa:- 1. Radio hungiza pesa kupitia matangazo. Kwa mikoa kama ya Dodoma, Arusha, Mwanza, shinyanga n.k tangazo moja...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom